WAZIRI MKUU ATAKA MIPANGO ENDELEVU YA UTAFUTAJI TEKNOLOJIA SEKTA YA MADINI.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini iendelee kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi katika kutafuta teknolojia mbalimbali za uongezaji thamani madini. Amesema kuwa kufanya hivyo kutawezesha madini yanayopatikana nchini kutumika katika kuzalisha bidhaa ambazo zinahitajika duniani kote kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu duniani….

Read More

Okwi achagiza mpango wa straika mpya Simba

STAA wa zamani wa Simba na Yanga, Emmanuel Okwi amehusika kwa kiasi kikubwa kumshawishi, Straika Mganda Steven Dese Mukwala (24) asaini Msimbazi, Mwanaspoti linajua. Mukwala huenda akatambulishwa muda wowote kuanzia sasa kwani tayari yupo Jijini ametulia kwenye hoteli moja iliyoko kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi. Okwi ambaye kwa sasa anaichezea Erbil SC ya Ligi…

Read More

TRADE MARK AFRIKA KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI NCHINI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akiongoza Mkutano wa 47 wa Kamati Tendaji ya Kitaifa (National Oversight Committee -NOC) inayosimamia utekelezaji wa miradi ya kuwezesha na kuboresha mazingira ya biashara nchini kwa ufadhili wa TradeMark Africa (TMA), kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Natu El- maamry Mwamba, jijini…

Read More

WCF yaeleza utayari katika zama za akili mnemba (AI)

MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma, amewahimiza waajiri nchini kutumia mifumo ya TEHAMA kupata huduma zitolewazo na Mfuko huo ili kupunguza gharama na kuokoamuda. Dkt. Mduma ameyasema hayo wakati akitoa salamu za Mfuko kwenye mkutano wa mwaka wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) ulioambatana na kongamano la wadau lililokuwa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Anwary aziingiza vitani Tanzania Prisons, Coastal Union

MAAFANDE wa Tanzania Prisons na Coastal Union wameingia vitani kuiwania saini ya mshambuliaji nyota wa Dodoma Jiji, Anuary Jabir. Straika huyo wa zamani wa Kagera Sugar aliyewahi kuichezea KAA Gent ya Ubelgiji kwa majaribio, ameziingiza vitani timu hizo, huku ikielezwa mabosi wa Dodoma Jiji wako tayari kumuongezea mkataba mpya. MASHUJAA imeanza mazungumzo ya kumpa mkataba…

Read More