Malisa ataka kesi yake ipelekwe mahakamani

Moshi. Mwanaharakati na Mkurugenzi wa GH Foundation, Godlisten Malisa ameendelea kuripoti katika ofisi za Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kilimanjaro (RCO) kutokana na tuhuma za uchochezi zinazomkabili. Malisa amesema amejipanga kukabiliana na tuhuma hizo na anataka kesi yake ipelekwe mahakamani. Ikiwa ni mara ya pili sasa, leo Juni 27, 2024, Malisa ameripoti kituoni hapo baada…

Read More

Simba yambakiza Mwamnyeto Yanga | Mwanaspoti

KUNA sababu tano za msingi zilizowafanya mabosi wa Yanga kukaa mezani na nahodha wa timu hiyo, Bakari Mwamnyeto kujadili dili jipya na mwisho wa siku kumpa mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga Jangwani. Mwamnyeto aliyetua Yanga Agosti 2020 akitokea Coastal Union, mkataba wake na Yanga ulikuwa unamalizika Juni 30, mwaka huu, hivyo alibakisha takribani siku…

Read More

Msimu wa 4 wa tamasha la HipHop asili 2024

Kwa mara ya kwanza, mwaka 2024, Mji wa Bagamoyo utakuwa mwenyeji wa Kilele cha msimu wa Nne (4) wa Tamasha la HipHop Asili, utakaofanyika tarehe 28 – 29 Juni, 2024, katika Chuo cha Sanaa cha Bagamoyo (TASUBA). Ambapo wataalamu wa sanaa, wasanii kutoka pembe zote za dunia watakutana kusherehekea utamaduni wa HipHop. Mwaka huu tamasha…

Read More

Profesa Janabi awamulika walaji wa nyama choma Arusha

Arusha. Matumizi ya chumvi yaliyopitiliza yametajwa kuwa chanzo cha magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wengi wa Mkoa wa Arusha, ikiwemo kiharusi, shinikizo la juu la damu, figo, na magonjwa ya moyo. Mkoa huo umetakiwa kuchukua hatua za haraka kudhibiti kiwango kikubwa cha shinikizo la juu la damu linalowakabili wananchi wengi. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Juni 27,…

Read More

WAJASIRILIAMALI WAIOMBA SERIKALI KUWAPATIA ELIMU YA UJASIRIAMALI

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Wajasiriamali wa Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya ujasiriamali ili waweze kuzalisha bidhaa zenye ubora, ambazo zitakidhi ushindani wa soko ili kujikwamua kiuchumi. Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Wajasiriamali Kata ya Tutuo, Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora,…

Read More

Kocha achelewesha kambi Simba, msala mzima upo hivi!

AWALI ilielezwa kambi ya Simba ingeanza rasmi leo Alhamisi kwa wachezaji wa zamani na wapya wangeanza kukutana Dar kabla ya kesho Ijumaa kufanya mkutano na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, Mohamed ‘Mo’ Dewji, mambo yamebadilika huku kocha mkuu akitajwa kuhusika. Habari kutoka ndani ya Simba zinasema, kambi ya Simba ya kulikusanya jeshi…

Read More