Kanoute awatikisa mabosi Simba | Mwanaspoti

KIUNGO wa Simba, Sadio Kanouté ‘Putin’ yupo mguu ndani, mguu nje kuwepo katika kikosi hicho kwa msimu ujao baada ya kuwatikisa mabosi wa klabu hiyo kiasi kwamba mazungumzo baina yao ili kusalia kikosini kushindwa kupata muafaka. Kanoute tangu ajiunge na Simba mwaka 2021 akitokea klabu ya Al-Ahli Benghazi ya Libya iliyokuwa imemnunua kutoka Stade Malien…

Read More

WAZIRI MKUU ATAKA MIPANGO ENDELEVU YA UTAFUTAJI TEKNOLOJIA SEKTA YA MADINI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Madini iendelee kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi katika kutafuta teknolojia mbalimbali za uongezaji thamani madini. Amesema kuwa kufanya hivyo kutawezesha madini yanayopatikana nchini kutumika katika kuzalisha bidhaa ambazo zinahitajika duniani kote kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu duniani….

Read More

Maagizo ya Makamu wa Pili wa Rais akiahirisha Baraza la Wawakilishi

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Abdulla amesema Serikali inaendelea kuhakikisha inadhibiti bidhaa kupanda bei, ili kuwapunguzia makali ya maisha wananachi. Akiahirisha Mkutano wa 15 wa Baraza la Wawakilishi leo Alhamisi Juni 27, 2024 amesema uzoefu unaonyesha wafanyabiashara hupandisha bei kiholela. Ameutaka uongozi wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda kufuatilia…

Read More

Joe master balozi mpya Sportpesa

KAMPUNI ya SportPesa imemtangaza mchekeshaji, Joe Master kuwa Balozi mpya kutangaza bidhaa za kampuni hizo. Joe Master analeta uzoefu na ujuzi mkubwa wa tasnia ya sanaa, utakaosaidia kukuza kampuni na bidhaa za Sportpesa. Akizungumza na Wanahabari jana jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa SportPesa, Sabrina Msuya, alisema; “Tunafuraha kuwa…

Read More

Dk Mwinyi azindua bohari ya gesi Zanzibar

Unguja. Wakati Zanzibar ikizindua bohari ya kwanza ya kupokea na kusambaza gesi, Rais Hussein Mwinyi amewataka wananchi kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni.  Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Juni 27, 2024 alipozundua bohari hiyo eneo la Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja chini ya Kampuni ya Oryx Gas Zanzibar Ltd. Amesema hatua hiyo…

Read More

Bingwa Taifa Cup kuvuta Sh 7Milioni

BINGWA wa mashindano ya CRDB Taifa Cup kwa upande wa wanaume na wanawake atazawadiwa kila moja Sh million 7. Hayo yalisemwa na Meneja wa Kanda ya Kati wa beki hiyo, Chabu Mishwaro mjini Dodoma wakati mashindano hayo yakishika kasi kwenye viwanja vya Chinangali,  kwa upande wa wanaume na wanawake. Mishwaro alisema, washindi wa pili kwa…

Read More