Sharti la mkataba lamwondoa straika Geita

Geita Gold inaendelea kupoteza wachezaji wake baada ya kushuka daraja, ambapo safari hii ni mshambuliaji wake, Ramadhan Kapera ambaye ameachana na timu hiyo kutokana na sharti la mkataba aliousaini dirisha dogo. Kapera aliyesajiliwa dirisha dogo na timu hiyo akitokea Mbeya Kwanza akiwa na mabao tisa Championship, na kusaini mkataba wa mwaka mmoja ambao ulikuwa na…

Read More

TAIFA GAS WAZINDUA KITUO CHANGANYIKENI, WATU 300 WAPATA MITUNGI

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule akishirikiana na wafanyakazi wa Taifa Gas akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Mauzo kilichopo Changanyikeni jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule akizungumza na wananchi wa Changanyikeni jijini Dar es Salaam walipokusanyika kupata mitungi ya Taifa Gasi. MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad…

Read More

Baadhi wafunga, wengine wafungua maduka Kariakoo

Dar es Salaam. Unaweza kusema kauli ya Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Kariakoo jijini Dar es Salaam, Martin Mbwana ya kuacha uamuzi wa kufunga au kufungua maduka katika eneo hilo imetekelezwa kwa vitendo. Hiyo ni baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao kama kawaida huku wengine wakiendelea kufunga. Ni mgomo ulioanza Jumatatu ya Juni 24,…

Read More

Maandamano zaidi yanukia Kenya, vijana wabadili kaulimbiu

Dar es Salaam. Licha ya Rais William Ruto kurudisha Muswada wa Fedha, 2024 bungeni, maandamano zaidi yanatarajiwa nchini Kenya leo Juni 27, 2024, huku waandamanaji wakitaka kwenda Ikulu kushinikiza kiongozi wa nchi hiyo ajiuzulu. Hiyo ni kutokana na hali ya hasira na kutoridhika miongoni mwa wananchi kuhusu hali mbaya ya kiuchumi na ongezeko la ushuru….

Read More