Kinachoendelea mgomo wa wafanyabiashara Dar, mikoani

Mikoani. Ikiwa ni siku ya nne tangu kutangazwa kwa mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, baadhi yao wameamua kufungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida huku wengine wakiendelea kuyafunga. Wafanyabiashara hao wameamua kugoma kuishinikiza Serikali kufanyia kazi malalamiko yao ambayo ni pamoja na kupunguza utitiri wa kodi na ushuru wanazolipa, unyanyasaji unaofanywa na maofisa wa…

Read More

MWENYEKITI WA CCM TANGA ACHUKIZWA NA UBABE WA WATENDAJI

Raisa Said,Handeni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdulrahman ameendelea kusisitiza viongozi kutekeleza agizo la Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alilolitoa hivi karibuni kuwataka viongozi na watendaji wote kuacha kutumia mabavu kwa wananchi wanaowaongoza. Kali hiyo ameitoa wilayani Handeni katika ziara yake alipofika kukagua ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Kibaya kata ya Misima…

Read More

Profesa Janabi atua Arusha kuongeza nguvu kambi madaktari

Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amewasili mkoani Arusha kwa lengo la kuongeza nguvu kwenye kambi ya madaktari bingwa na wabobezi inayoendelea jijini Arusha. Profesa Janabi amewasili usiku wa kuamkia leo ambapo leo Alhamisi Juni 27, 2024 ataungana na timu ya wataalamu wanaoendelea kutoa huduma na jukumu lake…

Read More

RC SAID MTANDA AIPONGEZA MSD KWA MAGEUZI YA KIUTENDAJI

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda ameipongeza Bohari ya Dawa (MSD) kwa ugatuzi wa madaraka kwa Kanda zake nchini, kwani uamuazi huo utasaidia na kurahisisha upatikanaji wa bidhaa za afya kwa wakati. Mtanda ametoa pongezi hizo hapo jana, wakati akifunga kikao kazi baina ya MSD na Wateja wake wanaohudumiwa na Kanda…

Read More

Baadhi wafunga, wengine wafungua maduka Karikakoo

Dar es Salaam. Unaweza kusema kauli ya Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Kariakoo jijini Dar es Salaam, Martin Mbwana ya kuacha uamuzi wa kufunga au kufungua maduka katika eneo hilo imetekelezwa kwa vitendo. Hiyo ni baada ya baadhi ya wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao kama kawaida huku wengine wakiendelea kufunga. Ni mgomo ulioanza Jumatatu ya Juni 24,…

Read More

WADAU SEKTA YA UJENZI WAJENGEWA U UWEZO KUKABILIANA NA MIGOGORO KWA NJIA RAFIKI

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) imejipanga kupunguza migogoro katika sekta ya ujenzi kwa kuwajengea uwezo wadau mbalimbali jambo ambalo litasaidia upatikanaji wa suluhishi kwa kutumia njia rafiki inayotoa fursa kwa pande mbili kuelewana bila kwenda Mahakamani. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati akitoa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wa…

Read More

JIWE LA SIKU: Kibu na mkataba wa mtego Simba

ZAMANI ilikuwa ngumu kumuona mchezaji kutoka Bongo anakwenda mapumziko nchi kama Marekani, Ufaransa, Dubai na nyingine ila kwa sasa linawezekana kwani Ligi ya Tanzania imeanza kulipa vizuri na wachezaji wanapata mikwanja ya kwenda huko kula bata katika kipindi cha mapumziko kama ilivyo kwa mastaa tofauti ulimwenguni. Unavyosoma hapa, staa wa Simba, Kibu Denis yupo zake…

Read More

Waliohukumiwa kunyongwa kwa kumuua Mawazo waachiwa huru

Geita. Mahakama Kuu Kanda ya Geita imewaachia huru washtakiwa wanne waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo. Hukumu hiyo imetolewa juzi Juni 25, 2024 na Jaji wa Mahakama hiyo, Graffin Mwakapeje baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka kuona hana nia ya kuendelea na kesi hiyo. Washtakiwa…

Read More