MARUFUKU KUWEKA TOZO ZISIZOENDANA NA SHERIA YA MADINI – DKT. KIRUSWA
*Asikiliza changamoto za wadau wa madini *Kliniki ya Madini kuanza Julai 3, 2024 *FEMATA watakiwa kuwa mabalozi na mfano katika kupambana na utoroshaji wa madini SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imepiga marufuku Halmashauri kutoza tozo kwa Wachimbaji ambazo zipo kinyume na Sheria mama huku kliniki ya kutibu changamoto za wachimbaji wa madini ikipangwa kuanza Julai…