Mwamnyeto apewa miwili Yanga | Mwanaspoti

NAHODHA wa Yanga, Bakar Mwamnyeto ameongeza mkataba wa miaka miwili ili kukitumikia kikosi hicho, huku klabu hiyo ikitoa Sh300 milioni kama pesa ya usajili huo. Mwamnyeto aliyekitumikia kikosi hicho kwa misimu minne huku mitatu mfululizo ikiwa na mafanikio akiwa kama nahodha akitokea Coastal Union, alikuwa ni miongoni mwa nyota waliomaliza mikataba na kulikuwa na sintofahamu…

Read More

KLINIKI YA USHAURI NA ELIMU YA KISHERIA KWA UMMA YAZINDULIWA JIJINI DODOMA

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa kliniki ya ushauri na elimu ya kisheria kwa umma inayokusudia kusogeza huduma za sheria karibu na wananchi iliyozinduliwa leo Juni 26,2024  katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Dk. Eliezer Feleshi,akizungumza na wananchi wakati…

Read More

Wakenya kuandamana tena kesho, waliouawa wafikia 13

Nairobi. Waandaaji wa maandamano nchini Kenya wametoa wito wa maandamano mapya ya amani kupinga ongezeko la kodi, huku idadi ya waliofariki dunia kutokana na maandamano ya nchi nzima ikiongezeka hadi 13, ofisa kutoka chama kikuu cha madaktari ameiambia AFP. Maandamano hayo yanayoongozwa na vijana yalianza kwa amani wiki iliyopita, huku maelfu ya watu wakiandamana kote…

Read More

Mastaa wapya Azam waanza kupigishwa tizi

NYOTA wapya wa Azam FC, Yoro Mamadou Diaby kutoka Yeleen Olympique ya Mali, Adam Adam (Mashujaa) na Wacolombia Jhonier Blanco (Aguilas) na Ever Meza kutoka Leonnes wameanza kupigishwa tizi mapema ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuripoti kambini Chamazi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao. Ever Meza Wachezaji hao ambao tayari wamejumuishwa katika…

Read More

Zanzibar yataja faida baada ya kubinafsisha huduma hospitali za umma

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema baada ya kubinafsisha baadhi ya huduma katika hospitali zake, nyingi zimeanza kuimarika ikiwemo upatanikanaji wa dawa kwa asiliamia 90. Huduma nyingine zilizoimarika katika hospitali za umma ni usafiri hospitalini, nidhamu ya kazi imeongezeka, chakula cha wagonjwa kinapatikana kwa wakati na ufuaji wa nguo za wagonjwa na uendeshaji…

Read More

Tajiri aingilia dili la Mpanzu Simba

RAIS wa Klabu ya AS Vita, Amadou Diaby amekutana na winga wa kikosi hicho, Elie Mpanzu Kibisawala ili kumshawishi aendelee kubaki ndani ya timu hiyo baada ya hivi karibuni kuhusishwa kuhitajika na miamba wa soka nchini, Simba. Winga huyo ni miongoni mwa wachezaji wanaohitajika na Simba katika dirisha hili la usajili ili kuboresha kikosi hicho…

Read More