HATUTASITA KUCHUKUA HATUA KWA KIONGOZI ANAYEWANYANYASA WANANCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI haitasita kuchukua hatua kwa kiongozi yeyote anayewanyanyasa wananchi kupitia ukusanyaji wa ushuru wa mazao kwani Serikali imeshakwisha kutoa Miongozo kuhusu ukusanyaji wa ushuru wa mazao. Mhe. Mchengerwa ameyasema hayo wakati akichangia hoja yake bungeni…

Read More

Mawakili wakimbilia mahakamani kumpiga ‘stop’ Ruto

KUNDI la mawakili na wanaharakati wameelekea mahakamani kumzuia Rais wa Kenya, William Ruto kutia saini Muswada wa Fedha wa 2024 na Muswada wa Kibali cha Matumizi ya Fedha wa 2024. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mawakili saba wakiwemo Ndegwa Njiru, Jackline Mwangi, Lempaa Suyinka na Chama cha Wanasheria wa Mlima Kenya wanataka mahakama itoe…

Read More

Vituo vya msaada kisheria vilivyosaidia jamii kupata haki

Unguja. Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Ibrahim Mzee Ibrahim amewataka wanajamii kuvitumia vituo vya msaada wa kisheria katika maeneo yao kupunguza gharama na kufuata huduma masafa marefu. Akifungua kongamano la vyuo vikuu kuhusu msaada wa kisheria lililofanyika Tunguu, Zanzibar leo Juni 26, 2024, Jaji Ibrahim amesema lengo la Serikali kuanzisha vituo hivyo ni kuondoa…

Read More

Simba yamfuata beki mpya Yanga

DILI la Simba limebuma baada ya kutaka kumnyampia beki wa FC Lupopo, Chadrack Boka, ambaye hawakujua kama tayari ameshamalizana na Yanga. Boka ni mchezaji wa kwanza kusaini Yanga baada ya uongozi wake kukubali kumuuza mchezaji huyo ambaye alibakiza mkataba wa mwaka mmoja na kikosi hicho. Kupitia Mwanaspoti iliandikwa kuwa, Mkongomani huyo atakwenda kuwa mrithi wa…

Read More

Mwanamke aliyefiwa na mumewe, watoto watatu ajali ya moto Arusha atoka hospitali

Arusha. Hatimaye Jasmine Khatibu na mtoto wake mchanga mwenye umri wa wiki moja, wameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kupata nafuu. Jasmine pamoja na mtoto wake mchanga wameruhusiwa kurudi nyumbani kutoka Hospitali ya Rufaa Mount Meru walikokuwa wakipatiwa matibabu baada ya kunusurika katika ajali ya moto iliyotokea Juni 22, 2024 ambayo ilisababisha kifo cha mumewe Zuberi…

Read More

CCM YAWANYOOSHEA VIDOLE VISHOKA WA SIASA..

NA WILIUM PAUL, MOSHI. CHAMA cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro kimewaonya baadhi ya Wanachama wa chama hicho ambao wamegeuka kuwa vishoka wa siasa na kuanza kupita hovyo na kuwafanya viongozi waliopo kushindwa kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa Ilani ya Uchaguzi kuacha mara moja. Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Chama hicho mkoa wa…

Read More

Simba yatua kwa viungo wawili Yanga

BAADA ya mazungumzo ya muda mrefu, Simba Queens inadaiwa kufanikiwa kuwashawishi viungo wawili wa Yanga Princess ambao ni wachezaji muhimu kwenye kikosi hicho, Saiki Atinuke na Precious Christopher ili waitumikie msimu ujao wa Ligi Kuu ya wanawake. Wachezaji hao wamemaliza mikataba na Yanga na timu hiyo haijawaita mezani kuzungumza nao juu ya mikataba mipya, jambo…

Read More