Kenya yafanya tathimini ya hali baada ya Maandamano – DW – 26.06.2024

Duru zinaeleza kwamba maiti zisizopungua 7 zilifikishwa kwenye chumba cha City jijini Nairobi.Kwa mujibu wa maafisa wa chumba hicho cha hifadhi, maiti hizo zilikuwa na majeraha ya risasi na moja ilionesha dalili za kukabwa koo. Kulingana na taratibu,maiti zinazopatikana kwenye mazingira ya vurugu na maandamano sharti zifikishwe kwenye chumba cha maiti cha serikali ili kutambuliwa…

Read More

WAZIRI BASHUNGWA:MAKANDARASI WAZAWA KUPEWA MIRADI HADI YENYE THAMANI YA BILIONI 50

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akifafanua jambo wakati akichangia Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akichangia Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Bungeni jijini Dodoma …………. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imesikia kilio cha Makandarasi…

Read More

Mgomo watikisa mikoa 8, wafanyabiashara wamuita Samia

LICHA ya Rais Samia Suluhu Hassan kuahidi kuwa hadi kufikia tarehe 8 Agosti mwaka huu atakuwa ameinyoosha bandari ya Dar es Salaam na kuweka mazingira rafiki ya biashara, mgomo wa wafanyabiashara umeendelea kupamba moto katika mikoa nane. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mbali na Dar es Salaam ambayo mgomo huo umeingia siku ya tatu leo,…

Read More

TET YAPONGEZWA UANDAAJI WA TUZO KWA WALIMU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kusimamia ufanyaji wa mtihani wa mwisho kwa walimu wa kuwapima ubora wao na kuwapa leseni kama ilivyo taaluma zingine kwa lengo la kuwaongezea thamani na kupata haki sawa ya ajira. Ameyasema hayo Juni 25, 2024 Jijini Dar es Salaam, Waziri…

Read More

Bocco aisapraizi Simba Dar | Mwanaspoti

SIKU chache tu baada ya kupewa ‘Thank You’ na Simba, aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco amewasapraizi Wekundu wa Msimbazi hao baada ya kupata timu mpya wakati wenyewe wakijiandaa kumuaga rasmi. Bocco anayeshikilia rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi Kuu Bara akifunga mabao 154 katika misimu 16 akiipiku rekodi iliyokuwa…

Read More

Wimbi la talaka, vifo kukutanisha mawaziri watatu

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk. Pindi Chana amesema amepanga kukutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kutafuta suluhisho la ongezeko la vifo na wimbi la talaka katika jamii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kwa mujibu…

Read More

Wastaafu waliopunjwa mafao watangaziwa neema

Dodoma. Serikali imetangaza habari njema kwa wastaafu waliostaafu kuanzia Julai mwaka 2022, ambao ni 17,068 kuwa watalipwa mapunjo yao ya mafao ya mkupuo kulingana na kikotoo kilichotangazwa Juni 13, 2024. Kiasi cha mafao ya mkupuo kiliongezwa kutoka asilimia 33 hadi 40 kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na 33 watapata…

Read More