Mgodi wa Barrick waamriwa kuifidia familia Sh150 milioni

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imemuamuru meneja mkuu wa kampuni ya uchimbaji madini ya African Barrick Gold Mine Ltd (ABG), kuilipa fidia ya Sh150 milioni familia ya Chacha Kiguha, mkazi wa Kijiji cha Nyamwaga, wilayani Tarime, kwa madhara iliyoyapata kutokana na shughuli za mgodi. Awali, Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza iliamuru maneja huyo kuilipa…

Read More

TUJENGE DESTURI YA KULIPA KODI KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU

  John Francis Haule   Tukiwa tunaelekea kupokea bajeti mpya ya serikali ya 2024/2025 ikijadiliwa bungeni kwa mujibu wa sharia,pia nasi katika jamii tukieendelea kuifatilia kwa ukaribu na umakini mkubwa sio kwa kuwa ni wanasiasa “la hasha” bali ni kwa kuwa bajeti ndiyo taswira na mwelekeo wa uchumi wanchi kwa kipindi cha mwaka.   Tumeshudia…

Read More

Matumaini mapya chanjo ya Ukimwi, yakinga wasichana 2,134

Dar es Salaam. Ni faraja katika mapambano ya maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (VVU), baada ya watafiti kupata chanjo ya kinga kupitia dawa ya PrEP iliyo katika mfumo wa sindano. Utafiti uliofanywa kwa wasichana 2,134 nchini Uganda na Afrika Kusini ulibaini hakuna maambukizi ya VVU yaliyoonekana katika jaribio la msingi la PrEP ya sindano,…

Read More

Rais Ruto aibua ‘uhaini’ maandamano ya Gen Z

Nairobi. Rais wa Kenya, William Ruto amesema maandamano ya amani ya Generation Z yaliingiliwa na wahalifu, akisisitiza Serikali itazingatia mamlaka yake ya kikatiba ya kulinda Taifa kutokana na vitendo vya ‘uhaini’. Amesema tukio la vurugu katika maandamano ya leo Juni 25, 2024 linatoa somo la namna ya kukabiliana na vitisho vya usalama wa Taifa. “Ninawahakikishia…

Read More

Rais Ruto aapa kutokomeza maandamano ya vurugu – DW – 26.06.2024

Ruto ameapa kwamba matukio ya uvamizi wa Bunge aliyoyaita “kitisho kwa usalama wa taifa”, kamwe hayatojirudia kwa gharama yoyote.” Hayo yanajiri wakati jumuiya ya kimataifa ikielezea wasiwasi wake kutokana na hali ya vurugu inayoshuhudiwa nchini humo. Kupitia televisheni, Rais William Ruto wa Kenya ameapa kuchukua msimamo mkali dhidi ya “vurugu na machafuko” yaliyoshuhudiwa hapo jana…

Read More

Mfahamu Costasnia, mwanamke mwenye kofia nne kwenye michezo

Mwanza. ‘Dhahabu ili ing’ae lazima ipite kwenye moto’ ni msemo ambao ameutumia Costasnia Kisege ambaye ni Mwalimu, Mwamuzi wa Mchezo wa Netiboli Ngazi ya Taifa, Mratibu wa Michezo Wilaya ya Maswa na Katibu Chama cha Mpira wa Netiboli Simiyu, wakati akielezea safari yake ya kuingia kwenye michezo. Mama yake alipenda michezo baba yake hakupenda Anasema…

Read More

TANESCO YATANGAZA KUANZA MABORESHO YA MFUMO WA LUKU

Na Mwandishi Wetu, Rukwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza rasmi kwa zoezi la maboresho ya mfumo wa LUKU ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Kanda ya Kusini na Nyanda za juu Kusini Magharibi. Akitangaza kuanza rasmi kwa zoezi hilo kupitia ziara ya utoaji wa elimu kwa Wateja kupitia vituo mbalimbali vya redio…

Read More

Miundombinu yatajwa kiungo muhimu cha biashara Afrika

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema ili kufika malengo ya ajenda ya 2063 ya nchi wanachama wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA), mataifa hayo hayana budi kuboresha miundombinu ya barabara, bandari na viwanja vya ndege kurahisha usafiri na usafirishaji wa biashara. Hemed amesema hayo Juni 25, 2024 alipofungua…

Read More