SMZ kutobinafsisha sekta ya elimu, ZSTC
Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema haina mpango wa kubinafsisha sekta ya elimu na Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) kutokana na umuhimu wake na unyeti kwa masilahi ya Taifa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi, Hamza Hassan Juma ametoa kauli hiyo Juni 25,…