Mgomo kufungua maduka wafika Mwanza, Mbeya

Dar/Mikoani. Wakati mgomo wa wafanyabiashara eneo la Kariakoo, Dar es Salaam ukiingia siku ya pili leo, umeungwa mkono na wengine wa mikoa ya Mbeya na Mwanza. Hata hivyo, katika maeneo hayo, baadhi ya wafanyabiashara wamefungua maduka na kuendelea na biashara kama kawaida. Kuendelea kufungwa kwa maduka katika eneo la Kariakoo, mbali ya kuwaathiri wateja, pia…

Read More

USAFIRI WA BASI KUTOKA JOHANNESBURG AFRIKA KUSINI HADI TANZANIA NDIO UNAOONGOZA KUUNGANISHA NCHI ZOTE ZA SADC

Na Zainabu Hamis, Habari njema zenye kuleta matumaini kwa wasafiri wanaotumia Bus kutoka Dar es Salaam Tanzania hadi Johannesburg ,Afrika Kusini kwa Mzee Madiba, kampuni ya kizalendo ya Usafirishaji Tanzania Mkombe Logistics yenye makao yake mjini Johannesburg,South Africa ambayo kwa sasa ndio inayo safirisha abiria kwa kutumia mabasi yake Mkombe Luxury Bus kampuni hiyo imejikuta…

Read More

Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More

DKT.DIMWA: AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema Serikali inakopa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wananchi wote na sio kwa maslahi ya watu wachache. Hayo ameyasema katika mwendelezo wa ziara yake wakati akizungumza na wanachama wa katika Tawi la CCM Mafufuni Jimbo la Bumbwini…

Read More

Daladala zote Dar ruksa kupeleka abiria ‘Sabasaba’

Dar es Salaam. Daladala za ruti zote jijini hapa zimeruhusiwa kupeleka abiria katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 48 maarufu Sabasaba yanayotarajiwa kuanza Juni 28 mwaka huu. Hayo yameelezwa kwenye taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) iliyotolewa leo Juni 25, 2024 katika ukurasa wake wa Instagram. Akizungumza na Mwananchi kuhusu…

Read More

Kapombe apewa mwaka mmoja Simba

SIMBA imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia, Shomari Kapombe ambao ndani yake una kipengele cha akifanya vizuri ataongezewa mwingine. Mwanaspoti limepata taarifa za ndani kuhusiana na Simba kumsainisha Kapombe, hivyo wakati wowote kuanzia sasa klabu hiyo itatangaza kuendelea naye msimu ujao wa 2024-2025. “Tumemalizana na Kapombe, hivyo bado ni mchezaji halali wa…

Read More