Wanaume wa Kiorthodox waandikishwe jeshini – DW – 25.06.2024

Uamuzi huo wa mahakama umetolewa Jumanne na kuamua kwa kuwa hakuna sheria inayotofautisha kati ya wanafunzi wa seminari ya Kiyahudi na wanafunzi wengine walioandikishwa kujiunga na shule, mfumo wa utumishi lazima wa kujiunga na jeshi la Israel, unapaswa kutumika kwa Waorthodox wote kama vile raia wengine wowote. Awali, wanaume wa madhehebu ya Kiorthodox walikuwa wanaruhusiwa…

Read More

Fawe Tanzania yawanoa walimu tarajali Butimba usawa wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, Mwanza ILI kuhakikisha usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa wanafunzi wa kike na kiume kuanzia elimu ya msingi mpaka chuo, Shirika la Wanawake Waelimishaji Afrika (Fawe) tawi la Tanzania limewajengea uwezo walimu tarajali katika mbinu za ufundishaji na ujifunzaji zinazozingatia usawa wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku tatu yamefunguliwa leo Juni 25, 2024…

Read More

Kigogo Baraza la Usalama wa Taifa afariki dunia

Dar es Salaam. Mratibu Msaidizi Baraza la Usalama wa Taifa, Brigedia Jenerali Vitalis Chakila amefariki dunia Jumapili Juni 23, 2024 akiwa na miaka 59. Taarifa za kifo cha Chakila zimetolewa leo Jumanne Juni 25, 2024 kupitia taarifa kwa umma iliyosainiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), Luteni…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Zahera atua kwa Lomalisa Mutambala

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili, beki Mkongomani, Joyce Lomalisa anatajwa kutua Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao. Lomalisa awali alikuwa anatajwa kujiunga Simba lakini mambo yakaenda tofauti na sasa inaelezwa Namungo inayonolewa na Kocha Mkongomani, Mwinyi Zahera ina mpango wa kumpa mkataba wa miaka miwili staa huyo…

Read More

STAMICO yajipanga kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini

Na Mwandishi Wetu,Mtanzania Digital Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeelezea Mipango yake ikiwemo kuendelea kuwawezesha Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini, huku msisitizo ukiwekwa kwenye ununuzi wa mitambo na huduma za uchorongaji ili kuwasaidia kupata taarifa za miamba, hatimaye wachimbe kwa tija. Hayo yalielezwa Juni 24, 2024 na Meneja Uwezeshaji Uchimbaji Mdogo kutoka STAMICO Bw….

Read More

Wateja Dar wahamia Soko la Tandika

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya maduka kufungwa katika Soko la Tandika, wachuuzi wa bidhaa ndogondogo na wateja wamehamia sokoni hapo. Maduka hayo yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara ulioingia siku ya pili leo Juni 25, 2024 ukianzia eneo la Kariakoo. Katika Soko la Tandika kumekua na msongamano wa watu, kwa kiasi kikubwa wakiwa…

Read More

Shahidi aeleza namna watuhumiwa kesi ya Milembe walivyokamatwa

Geita. Shahidi wa 24 katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa GGMl, Milembe Suleman (43) aliyeuawa Aprili 26, 2023 kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali mwilini wake, ameieleza Mahakama namna walivyowakamata washtakiwa wanne wa kesi hiyo. Shahidi huyo, Coplo Hashimu ambaye ni askari upelelezi  kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa…

Read More

Waandamanaji kadhaa wauwawa Kenya – DW – 25.06.2024

Sehemu ya maeneo ya bunge nchini Kenya yamechomwa moto wakati maelfu ya waandamanaji wanaopinga mswada tete wa fedha, walipovamia katika maeneo hayo. Wabunge waliokuwa ndani ya bunge, inasemekana walitoroshwa na kupelekwa sehemu salama. Hatua hiyo ya waandamanaji kuvamia maeneo ya bunge ni shambulizi la moja kwa moja kwa serikali ambalo halijawahi kuonekana kwa miongo kadhaa. …

Read More