Chama, Dube na mifumo minne Yanga

Dar es Salaam. Vuta picha hapa kuna Clatous Chama kule Prince Dube katika kikosi cha Yanga chenye nyota wengine kama vile, Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli na Mudathir Yahya ambao waliwafanya Wananchi kutembea kifua mbele msimu uliopita na kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA). Chama ambaye mkataba wake…

Read More

Siku ya pili mgomo Kariakoo, wafanyabiashara wamtaka Rais Samia

Dar es Salaam. Wafanyabiashara eneo la Kariakoo wameendelea na msimamo wa kutofungua maduka, wakimtaka Rais Samia Suluhu Hassan kwenda kusikiliza malalamiko yao. Wameeleza wamechoshwa na matamko ya viongozi walio chini yake, wakidai hakuna utekelezaji wa yaliyofikiwa na kikosi kazi kilichoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mwaka 2023 walipogoma. Mgomo umeingia siku ya pili leo Juni…

Read More

Kinachoendelea mgomo wa wafanyabiashara Dar, Mwanza, Mbeya

Dar/mikoani. Siku moja tangu mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo uanze, mikoa ya Mwanza na Mbeya imeanza mgomo huo kwa madai ya utitiri wa kodi na tozo huku wakishinikiza mazingira mazuri ya biashara. Licha ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo kutangaza kusitishwa kwa ukaguzi wa risiti za kielektroniki (EFD), wafanyabiashara wameendelea kusimamia msimamo…

Read More

Toeni taarifa Wanaofanya ukatili kwa wenye Changamoto ya Ngozi, Tutaendelea Kuwalinda Mvungwe.

Mkaguzi Kata ya Mvungwe Wilaya ya Kilindi Mkoa wa Tanga amebainisha kuwa wataendelea kuwalinda wenye changamoto za ulemavu wa Ngozi huku akiwaomba wananchi kutoa taarifa za baadhi ya watu ambao wanafanya ukatili huo. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi wa kata hiyo Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Fabian Mhagale ambapo amewataka wananchi wa kata hiyo kushirikiana na…

Read More

Al-Nassr ikikubali mkataba wa €40m Szczesny.

Cristiano Ronaldo anaripotiwa kuungana na mchezaji mwenzake wa zamani wa Juventus Wojciech Szczesny, huku Al-Nassr wakipanga uhamisho wa Euro milioni 40. Kipa huyo wa zamani wa Arsenal, kulingana na Tuttosport, yuko tayari kumaliza miaka saba huko Turin. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alisemekana kutaka kusalia katika msimu huu wa joto, lakini ameona makubaliano…

Read More

Tunawaunga mkono Kariakoo, mifumo ya kodi inaua mitaji

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema anawaunga mkono wafanyabiashara wa Kariakoo walioanza mgomo jana Jumatatu kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao na kuwaomba wafanyabiashara wengine Tanzania nzima waungane na wenzao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akihutubia wananchi na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika Monduli jana, Mbowe amesema…

Read More

FAMILIA ACHENI KUONEANA AIBU KATIKA MALEZI YA WATOTO

Na Khadija Kalili, Michuzi Tv IMEELEZWA kuwa kutokana na tabia ya jamii kuoneana aibu ndani ya familia kumesababisha vitendo vya ukatili kuendelea ndani ya jamii ambapo hali hiyo imezipeleka familia pabaya hasa watoto kufichwa baadhi ya mambo Mkoa wa Pwani umesema kuwa utachukua hatua kali kwa watu wanaowafanyia ukatili watoto na kuwakwamisha kufikia ndoto zao…

Read More