AIRTEL TANZANIA YAANZA KUTUMIA MKONGO WA BAHARINI WA AIRTEL 2AFRIKA KULETA MAGEUZI YA MTANDAO HUDUMA ZA INTANETI
· Ni Mkongo wa Mawasiliano baharini wenye uwezo mara10 zaidi ya iliopo · Kumaliza changamoto ya kukosekana kwa huduma ya intaneti kutokana na sababu ya kukatika kwa mkongo wa baharini · Uchumi wa kidijitali unatarajiwa kukua kwa kiwango cha juu zaidi KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeanza kutumia rasmi Mkongo wa mawasiliano unaopita baharini wa…