Wanafunzi elimu ya juu watakiwa kutafuta fursa wakiwa vyuoni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mratibu kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amewaasa wanafunzi wa vyuo kutafuta fursa wakiwa bado chuoni ili kuwarahishia njia pale wanapohitimu masomo yao. Ametoa kauli hiyo Juni 22,2024 katika mkutano mkuu wa Asasi ya Haki za Binadamu Chuo Kikuu cha Dar es…

Read More

Kibarua kupigania marekebisho sheria ya NGos chawasubiri viongozi wapya

Dodoma. Wakati uongozi mpya wa Baraza la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), ukitarajiwa kupatikana kesho, kazi kubwa inayowasubiri ni kupigania marekebisho ya sheria, sera, kanuni ili kuondoa mianya iliyokuwa ikiwafanya wasitimize wajibu wao vizuri. Akizungumza leo Jumatatu Juni 24, 2024, Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Tanzania Bara, Beatrice Mayao amesema yapo mengi yaliyofanywa na…

Read More

Zaidi ya nusu ya wanawake Kinondoni wanajichubua

Dar es Salaam. Imebainika kuwa zaidi ya nusu wa wanawake  waliopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam wanatumia vipodozi vya kujichubua. Hali hiyo imebainika kupitia tafiti iliyofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) ambayo imeonyesha asilimia 54.5 ya wanawake hao wanatumia vipodozi hivyo, ili wawe weupe. Utafiti huo umebaini wengi wao…

Read More

Serikali yasitisha ukaguzi EFD kwa wafanyabiashara Kariakoo

Dodoma. Serikali imesitisha kazi ya ukaguzi wa risiti za kielektroniki (EFD) na ritani za kodi  iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia mkoa wa kikodi wa Kariakoo, jijini  Dar es Salaam, wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo katika Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Juni 24,…

Read More

Dar City inavyorejea BDL | Mwanaspoti

WAKATI baadhi ya timu za kikapu za Mkoa wa Dar es Salaam zikiwa kwenye mapumziko ya Ligi ya Kikapu mkoani humo (BDL) ili kupisha mashindano ya Kombe la taifa, timu ya Dar City inaendelea na mazoezi katika uwanja  wa Osterbay kujifua kwa ajili ya mzunguko wa pili. Dar City ambayo ni bingwa mtetezi wa Ligi…

Read More

‘Nguvu zielekezwe kuzuia ajali za majini’

Bagamoyo. Wakati vyombo vya dola nchini Tanzania vikiweka mikakati kupunguza ajali za barabarani, jitihada kama hizo zimeshauriwa zielekezwe kwenye usafiri wa majini. Hali hiyo inatokana na ajali mathalani za Mv Bukoba, Mv Nyerere, Spice Islander zilizosababisha vifo na majeruhi, chanzo kikielezwa ni matatizo binafsi ya mabaharia na huenda zingeepukika kama hatua zingechukuliwa. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Serikali kuendelea kushirikiana na viongozi wa dini

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema serikali inaendelea kushirikiana na viongozi wa dini kuhakikisha suala la maadili nchini. Jana, Chalamila alikua mgeni rasmi akimwakikisha Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, katika Ibada ya Maadhimisho ya Miaka 90 ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano, Upanga jijini Dar es Salaam. Alilitaka kanisa hilo kuendelea kujitafakari…

Read More

Cheki ‘SUB’ ya kadi nyekundu kikapu

KATIKA kila mchezo kuna raha yake kwa mashabiki na hata wachezaji. Lakini, linapokuja suala la wachezaji kuingia mchezoni kutokea benchi (sub), kwenye kikapu kuna maajabu zaidi kwani mchezo yeyote anaweza kuingia uwanjani ili mradi tu awe katika benchi la nyota wa akiba. Kwenye soka na michezo mingine mingi, mchezaji anapopewa kadi nyekundu sheria za michezo…

Read More