RC Mtambi aagiza wenye ulemavu watambuliwe, wapewe mikopo

Rorya. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo kuwatambua na kuwezesha uanzishwaji wa vikundi vya watu wenye ulemavu katika wilaya zao. Pia amewataka kusimamia usajili wa vikundi hivyo, ili viwezeshwe kiuchumi. Mtambi ametoa maagizo hayo leo Jumatatu, Juni 23, 2024, alipofunga mafunzo ya ujasiriamali…

Read More

ACI Financial Markets Association of Tanzania Strengthens Stakeholder Engagement and Collaboration

  By special correspondent,Dar es Salaam. The ACI Financial Markets Association of Tanzania has affirmed its commitment to strengthening stakeholder engagement and fostering a collaborative environment within the financial markets arena. Speaking in Dar es Salaam during the association’s leadership team strategic meeting at the weekend, marking the charter’s first 100 days in office, ACI FMA…

Read More

Luis, Chama kama muvi Simba

KLABU ya Simba imeachana rasmi na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Msumbiji, Luis Jose Miquissone baada ya kutoridhishwa na kiwango chake tangu aliporejea ndani ya kikosi hicho cha Msimbazi akitokea Al Ahly ya Misri. Kwa mara ya kwanza Luis alijiunga na Simba Januari mwaka 2020 akitokea UD Songo ya Msumbiji kwa mkopo…

Read More

Mwenyekiti wa mtaa auawa kwa kukatwa mapanga Geita

Geita. Mwenyekiti wa Mtaa wa Mwatulole, Kata ya Buhalahala Mjini Geita, Noel Ndasa ameuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali mwilini na watu wasiojulikana. Tukio hilo limetokea jana Juni 23, 2024 saa moja usiku, baada ya wanaume wawili kufika nyumbani kwake, wakidai wanataka huduma ya kupewa kibali cha kusafirisha mifugo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,…

Read More

Dk Mwinyi agoma kuongezewa muda wa Urais

Dar es Salaam. Ikulu ya Zanzibar kupitia kwa Mkurungenzi wa Mawasiliano, Charles Hilary imepinga suala la Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi kuongezewa muda wa kukaa madarakani, huku ikisisitiza maoni hayo sio yake. Taarifa hiyo iliyotolewa leo Jumatatu Juni 24, 2024 imeeleza; “Hivi karibuni kumetolewa maoni yanayopendekaza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

Read More

MCB kukutana Iringa Mkutano Mkuu wa Mwaka 2024

Mkutano Mkuu wa mwaka wa wenyehisa wa Benki ya Biashara ya Mwalimu (MCB) 2024 umepangwa kufanyika tarehe 27 Juni Mkoani Iringa, huku benki hiyo ikionesha azma yake thabiti katika uwazi na ushirikiano na wadau. “Mkutano huu wa Mwaka unathibitisha umuhimu wa muundo imara wa utawala wa MCB, ukiwapa wanahisa jukwaa muhimu la mazungumzo yenye tija…

Read More

Kocha: Kuna balaa Taifa Cup

BAADA ya timu ya kikapu ya Mkoa wa Kigoma kuifunga Morogoro kwa pointi 106-54 katika mashindano ya kombe la taifa, kocha wa timu hiyo, Qassim Anasi amesema licha ya kushinda amekiri ushindani ni mkubwa mwaka huu. Mashindano hayo mwaka huu yanafanyika katika viwanja Chinangali mkoani Dodoma. Katika mazungumzo na Mwanaspoti kwa simu, Anasi alisema ushindani…

Read More

Mkongo wa baharini wa Airtei 2Afrika kuanza kutumika rasmi

Dar es Salaam. Airtel Tanzania imeanza kutumia rasmi Mkongo wa mawasiliano unaopita baharini wa 2Africa wenye urefu wa kilomita 45,000 ukiunganisha mabara matatu ili kutoa huduma za intaneti ya kasi zaidi, jambo litakaloleta maendeleo makubwa katika kupanua na kuimarisha miundombinu ya kidijitali nchini Tanzania. Mkongo huu wa kisasa wa 2Africa unaopita chini ya Bahari na…

Read More