Wajane walia na Mila potofu za kuwakandamiza

Mkuu wa mkoa Morogoro Adam Malima amesema serikali itaendelea kulinda na kutetea haki za wajane Ili waendele kulea familia zao. Rc Malima ameyasema hayo Mjini Morogoro kwenye maadhimisho ya Siku ya wajane Duniani ambapo kitaifa yameadhimishwa Mkoani Morogoro ambapo amesema kumekua na tabia ya baadhi ya watu kuchukua Mali pamoja na kuwafukuza wanawake kinguvu baada…

Read More

Mzambia kunogesha mbio za magari Tanga

DEREVA muongozaji (navigator) kutoka Zambia, David Sihoka ni mmoja wa magwiji wa mbio za magari  wa daraja la juu barani Afrika wanaotegemewa kunogesha mashindano ya mbio za magari ya Advent yatakayofanyika jijini Tanga katikati ya mwezi ujao. Sihoka, amekuwa akimuongoza dereva Muna Singh wa Zambia kwa zaidi ya muongo mmoja sasa, safari hii atakuwa na…

Read More

Sakata la mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo laibuka bungeni

Dodoma. Sakata la mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, jijini Dar es Salaam limeibuka bungeni, huku Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu akisema Serikali itatoa taarifa baada ya kikao kati yake na kamati ya wafanyabiashara kukamilika. Sakata hilo limeibuka leo Jumatatu Juni 24,2024 bungeni jijini Dodoma baada ya Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma kuomba mwongozo…

Read More

Wafanyabiashara Kariakoo wamgomea Chalamila, wafunga maduka

LICHA ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwataka wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo kuepuka kushiriki mgomo uliovuma kuanza leo, hali katika soko hilo imeonesha wafanyabiashara hao wamegomea agizo hilo na kufunga maduka. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo imekuja siku mbili baada ya kusambaa kwa vipeperushi katika mitandao ya kijamii…

Read More

Hatua kwa hatua kinachoendelea mgomo wa Kariakoo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara katika soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam wamegoma kufungua maduka yao leo Jumatatu, Juni 24, 2024 ikiwa ni mgomo uliotangazwa kufanyika. Taarifa ya mgomo huo usio na kikomo zilianza kujulikana kupitia mitandao ya kijamii, baada ya kusambaa kwa vipeperushi vilivyowataka wafanyabiashara kutofungua maduka hayo kuanzia leo. Licha ya viongozi wa…

Read More

CCM watofautiana Mwinyi kuongezewa muda wa urais

Dar es Salaam. Wakati Sekretarieti ya Kamati Maalumu ya CCM, Zanzibar ikipitisha pendekezo la kuishauri Kamati Maalumu kuridhia kuongeza muda wa Rais Hussein Mwinyi, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makala amesema jambo hilo halipo. Jana, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Dk Mohamed Dimwa aliweka wazi nia ya kumwongezea…

Read More

Sintofahamu maduka yakifungwa Kariakoo | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vipeperushi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo wa wafanyabiashara Soko la Kariakoo, Mwananchi Digital imefika katika soko hilo  na mpaka saa 3 asubuhi maduka mengi bado hayajafunguliwa. Leo Jumatatu, Juni 24, 2024 Mwananchi imeshuhusdia wafanyabiashara katika eneo hilo wakiwa wamekaa nje, huku maduka yao yakiwa yamefungwa. Baadhi…

Read More

Maduka Kariakoo hayajafunguliwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vipeperushi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo wa wafanyabiashara Soko la Kariakoo, Mwananchi Digital imefika katika soko hilo  na mpaka saa 3 asubuhi maduka mengi bado hayajafunguliwa. Leo Jumatatu, Juni 24, 2024 Mwananchi imeshuhusdia wafanyabiashara katika eneo hilo wakiwa wamekaa nje, huku maduka yao yakiwa yamefungwa. Baadhi…

Read More