Caravans T20… Lions yawaliza Flashnet Strikers
ILIKUWA ni jioni njema kwa Park Mobile Lions baada ya ushindi mnono wa mikimbio 60 dhidi ya Flashnet Strikers katika mduara (oval) wa Leaders Club jijini, Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Mohamed Jawad aliyetengeneza mikimbio 54 na Kashif Ahamed aliyepiga mikimbio 39 ndio walioibeba Lions kuelekea ushindi wao na kuifanya jioni ya Jumamosi kuwa…