Caravans T20… Lions yawaliza Flashnet Strikers

ILIKUWA ni jioni njema kwa Park Mobile Lions baada ya ushindi mnono wa mikimbio 60 dhidi ya Flashnet Strikers katika mduara (oval) wa Leaders Club jijini, Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Mohamed Jawad aliyetengeneza mikimbio 54 na Kashif Ahamed aliyepiga mikimbio 39 ndio walioibeba Lions kuelekea ushindi wao na kuifanya jioni ya Jumamosi kuwa…

Read More

Ishu ya Prince Dube, Azam FC ilivyomalizwa

BAADA ya sintofahamu ya muda mrefu hatimaye Prince Dube amemalizana ‘kiungwana’ na Azam FC kufuatia ‘ushauri mzuri’ kutoka ‘mtu yule yule’ aliyehusika kushauri kwenye sakata la Feisal Salum ‘Fei Toto’. Dube amemalizana kwa kulipa fedh alizotakiwa kuilipa Azam ili aende anakopataka, vinginevyo mambo yangekuwa magumu kwake na hata kwa klabu iliyohusika kumshawishi kuzingua katikati ya…

Read More

Singida BS yavuruga usajili Simba, yavamia Ivory Coast

SINGIDA Black Stars (zamani Ihefu), imeendelea kusuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao ikielezwa imepora nyota wawili wa kigeni waliokuwa wakihusishwa na Simba, huku ikimalizana na makipa Metacha Mnata na Beno Kakolanya ambaye anaweza akapelekwa kwa mkopo Namungo. Singida iliyobadilishwa jina hivi karibuni na kuhamishia maskani mjini Singida kutoka Mbarali ilikokuwa wakati ikitumia jina la…

Read More

Kipa Azam afichua kinachombakiza Bara

KIPA wa Azam FC, Mohamed Mustafa amesema licha ya kuichezea Ligi Kuu Bara kwa miezi sita tu akiwa na kikosi hicho ila amevutiwa na jinsi mashabiki wanavyozipenda na kuzifuatilia timu wanazozipenda tofauti na mataifa mengine Afrika na ndio kubwa lililomfanya aamue kusalia na kikosi hicho kilichomtoa Al Merrikh. Mustafa alijiunga na Azam katika dirisha dogo…

Read More

Madina yupo tayari kwa vita Zambia

NYOTA wa timu ya taifa ya Gofu ya Wanawake ya Tanzania kutoka Arusha, Madina Idd amekuwa ni Mtanzania wa pili kuthibitisha ushiriki wa mashindano ya wazi ya ubingwa wa gofu yanayotarajiwa kupigwa mwisho wa mwezi huu kwenye viwanja vya Lusaka, Zambia. Madina amethibitisha jana kutoka klabu ya Gymkhana ya Arusha kuwa atakuwa miongoni mwa Watanzania…

Read More

Diarra, Yanga wakaa mezani, Mwamnyeto njia panda

YANGA sasa iko mezani na menejimenti ya kipa Djigui Diarra, ili kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja ili aendelee kuitumikia, licha ya kuwa amebakiza msimu mmoja kabla ya mkataba wa sasa kumalizika. Kipa huyo raia wa Mali alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga unaomalizika mwishoni mwa msimu ujao akiwa na rekodi ya kufanya vizuri katika…

Read More

Uswisi wafuzu baada ya kutoka sare na Ujerumani – DW – 24.06.2024

24.06.202424 Juni 2024 Katika mechi za Kombe la EURO 2024, jana usiku Ujerumani ambao wameshafuzu hatua ya mtoano, walilazimishwa sare ya 1-1 na Uswisi ambao pia matokeo hayo yamewawezesha kusonga mbele. https://p.dw.com/p/4hPoM Mchezaji wa Ujerumani Jamal Musiala (kushoto) akijaribu kudhibiti mpira na kumzuia mchezaji wa Uswisi Remo Freuler wakati wa mechi yao mjini Frankfurt: 23.06.2024Picha:…

Read More

JIWE LA SIKU: Coastal haina sababu ya kumganda Lawi

USHAWAHI kusikia ule mkasa wa wanandoa kupeana talaka na kuachana huku wakiwa bado wanapendana. Kila mmoja humfuatilia mwenzake kimyakimya katika maisha mapya ya useja. KIu kubwa ni kutaka kujua anafanya nini na yupo na nani? Wale wanaume wenye mioyo midogo, akisikia zilipendwa wake ametua kwa jamaa kwingine, wakati mwingine huleta za kuleta na kujizima data,…

Read More