Fedha za Mo Dewji zimeanza kazi, Kumshusha mido Mnigeria

ILIANZA kama tetesi vile, lakini taarifa zikufikie kwa sasa kwamba Mnyama amemalizana na kiungo mkabaji, Augustine Okejepha aliyekuwa akikiichezea Rivers United ya Nigeria. Mwanaspoti liliripoti hivi karibuni juu ya dili hili la Simba na Mnigeria huyo anayetajwa kuja kuchukua nafasi ya Babacar Sarr anayetarajiwa kupewa ‘thank you’ muda wowote kuanzia sasa ili kupisha majembe mengine…

Read More

TAASISI ZA UMMA ZITUMIE MIFUMO YA KIDIJITALI – WAZIRI MKUU

-Azindua mifumo minne ya kidijiti Serikalini WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka taasisi za umma ziweke mipango madhubuti ya kutumia mifumo ya kidijitali ambayo italeta mageuzi ya kiutendaji na kuifanya Tanzania kuendana na mapinduzi ya nne ya viwanda yanayotumia TEHAMA. Amesema kuwa mifumo hiyo pamoja na mambo mengine itasaidia kuwabana watumishi wazembe. “Kunahitajika msukumo kuhakikisha mifumo…

Read More

Rufaa yamnasua hukumu ya kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imemwachia huru mkazi wa Kahama, Richard Jacobo aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua dereva teksi, Patrick James. Jacobo na mwenzake Raphael Pius walihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, Juni 29, 2021. Walidaiwa wakiwa kama abiria kwenye taksi hiyo waliyoikodi, walimuua Patrick na kutelekeza…

Read More

Walima ufuta walalamikia mfumo wa TMX

Mtwara. Wakulima wa zao la ufuta mkoani Mtwara wameeleza kutoridhishwa na uendeshaji wa minada kupitia mfumo wa Mauzo wa Kieleteoniki (TMX) wakihoji uwazi wa nani anayeanzisha na kufunga mnada huo. Akizungumza jana Jumamosi Juni 22, 2024 baada ya kumalizika kwa mnada wa pili uliofanyika wilayani Masasi ambako zaidi ya tani 8,000 za ufuta zimeuzwa kwa…

Read More