Urais wa Dk Mwinyi Zanzibar waibua mjadala

Unguja. Uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  Zanzibar kutangaza dhamira ya kumuongezea muda Rais Hussein Ali Mwinyi wa kuongoza kutoka miaka mitano hadi saba, umewaibua wadau wakipinga hatua hiyo, huku wakiihusisha hatua hiyo na kile walichokiita nia ovu ya kuvunja Katiba na kukiuka misingi ya demokrasia. Wadau hao wakiwemo wanazuoni wa sayansi ya siasa, wamekwenda…

Read More

Matumizi makubwa ya mbolea, viuatilifu tishio jipya Tanzania

Arusha. Matumizi makubwa ya mbolea za kisasa na viuatilifu yametajwa kutishia usalama na uhakika wa chakula nchini Tanzania.  Inaelezwa hali hiyo inasababishwa na kuibuka kwa wadudu waharibifu, magonjwa mapya ya mimea na viumbe vamizi. Watafiti wa Afya ya Mimea na Viuatilifu nchini (TPHPA) wameiomba Serikali na wadau wa kilimo kuunganisha nguvu kukabiliana na changamoto hiyo….

Read More

Mwinzani: Mtashangaa NCBA, Lugalo Open

CHIPUKIZI wa mchezo wa gofu, Julius Mwinzani wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, anasema atakuja kuwashangaza wengi katika mashindano ya mchezo huo ya NCBA, Lugalo Open na Lina Tour kwa jinsi alivyopania kama alivyokuwa amejipanga kwa Morogoro. Mchezaji huyo anayechezea timu ya taifa ya vijana U18, alisema hayo baada ya kushika nafasi ya tatu…

Read More

Mnzava ataka jamii kushiriki kukomesha mauaji ya albino

Mufindi. Siku chache baada ya Serikali kutoa maagizo ya kukabiliana na mauaji ya watu wenye ualbino nchini Tanzania, Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, Godfrey Mnzava amekemea vitendo hivyo, huku akiitaka jamii kushirikiana kutokomeza vitendo hivyo. Hivi karibuni, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa bungeni jijini Dodoma, alitaka kuendelea ubainishaji na usajili wa watu wenye ualbino…

Read More

Simba yavunja ukimya hatma ya Chama

Wakati taarifa zikizidi kuenea kwamba kiungo mkongwe wa Simba, Clatous Chama amesaini Yanga, uongozi wa Simba umetoa kauli juu ya Mzambia huyo. Msemaji wa Simba, Ahmed Ally amesema Chama amemaliza mkataba na klabu hiyo na kwamba kinachoendelea sasa ni mazungumzo ya kutafuta namna ya kumuongezea mpya. Ahmed amesema, kama haitafanikiwa kumuongezea Simba itatafuta namna ya…

Read More

NaCoNGO yalia na kodi, ada za kila mwaka

Dodoma. Baraza la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), limeiangukia Serikali kushughulikia changamoto ya mashirika ya kiserikali ikiwamo kuchukuliwa kama sekta binafsi. Akizungumza leo Jumapili Juni 23, 2024 mjumbe wa kamati ya mpito ya uchaguzi wa NaCoNGO, Dk Astronaut Bagile amesema leo watajadili pia ni jinsi gani wanaweza kuwa na nguvu ya ushawishi kwenye masuala yanayotatiza…

Read More

Salvatory Edward kumsaidia Kopunovic Pamba Jiji

Mchezaji wa zamani wa Yanga na timu ya Taifa Salvatory Edward ametangazwa kuwa Kocha Msaidizi wa Pamba Jiji FC, ambapo anatarajiwa kuwa msaidizi wa Kocha Goran Kopunovic ambaye alitangazwa kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo mapema wiki hii. Kupitia Ukurasa wa Instagramu wa Pamba Jiji wamemtangaza Kocha Salvatory Edward Kuwa Kocha Msaidizi wa timu hiyo,…

Read More

Askofu Malasusa ajitosa mauaji ya mtoto albino

Dar es Salaam. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa amewataka Watanzania kukemea vitendo vya mauaji ya watu wenye ualbino akisema havikubariki katika karne ya sasa yenye mwanga. Kauli hiyo ya Askofu Malasusa inatokana na kile kilichotokea Mei 30, 2024 cha mtoto Asimwe Novath (2) mwenye ualbino, kuporwa mikononi mwa…

Read More