Waratibu maandamano kupinga biashara ya ‘makahaba’ Dar

Dar es Salaam. Uongozi wa Kampeni ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii (SMAUJATA) umesema hatua ya kukamatwa wanawake wanaodaiwa kuuza miili yao ‘makahaba’ katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, ni njia mojawapo ya kukabiliana na mmomonyoko wa maadili nchini. Ili kuunga mkono oparesheni hiyo, SMAUJATA imesema inaratibu maandamano ya kupinga…

Read More

RC Chalamila aonya wafanyabiashara kutojihusisha na migomo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wafanyabiashara kuepuka kushiriki kwenye masuala yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani na kurudisha nyuma uchumi ikiwemo uvumi wa mgomo unaodaiwa kuanza kesho Jumatatu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Amesema Serikali imekwishashughulikia baadhi ya changamoto na inaendelea kushughulikia changamoto za wafanyabiashara hususani zile zinazohusu mabadiliko ya kisheria….

Read More

Idadi ya wanaojua kusoma yaongezeka Tanzania

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amebainisha maeneo manne yaliyoonyesha matokeo chanya katika ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, ikiwemo ongezeko la idadi ya watu wanaojua kusoma na kuandika kufikia asilimia 83. Idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 78 ya mwaka 2012 kama ilivyoonyeshwa kwenye ripoti ya sensa ya…

Read More

Kampeni chafu yaanzishwa dhidi ya Kidata wa TRA

* Ni Kamishna Mkuu wa TRA aliyevunja rekodi ya makusanyo ya kodi za Serikali * Genge la wakwepakodi likishirikiana na vigogo wala rushwa limewalipa wahuni kwenye mitandao wamchafue bosi wa TRA * Wahuni waanzisha kampeni chafu kutaka Kidata ang’olewe TRA ili awekwe kamishna wao mla rushwa Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kampeni chafu imeanzishwa…

Read More

SERIKALI KUTUNGA KANUNI KUONDOA MIGONGANO YA WENYE MADUARA NA WAMILIKI WA LESENI

-Eneo la Uwekezaji wa msaada wa kiufundi(Technical Support) kutengenezewa Kanuni -Leseni za vikundi zilizotolewa na serikali kutouzwa bila ridhaa ya Tume ya Madini SERIKALI ipo mbioni kutunga kanuni za kushughulikia migogoro kati ya wamiliki wa leseni na wenye maduara. Hayo yamesemwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde mkoani Shinyanga katika Kijiji cha Mandu, machimbo ya…

Read More

Siri yafichuka, Chama apewa mkataba mnono Yanga

SAGA la usajili wa fundi wa  aliyemaliza mkataba wake Simba, Clatous Chama limechukua sura mpya, baada ya bosi mmoja wa Zambia kuvujisha siri kiungo huyo tayari amesaini mkataba wa mwaka moja Yanga. Ingawa sio Chama wala Yanga waliothibitisha juu ya dili hili, lakini taarifa za ndani kutoka Yanga ni kiungo huyo atakuwa mali ya kikosi…

Read More