Simba yafuata kiungo Mashujaa | Mwanaspoti

WAKATI fagio likiendelea kutembezwa Simba, mabosi wa klabu hiyo wapo bize kuingiza majembe mapya, kwani baada ya beki Lameck Lawi, tayari imemvuta kiungo mwingine fundi kutoka Mashujaa. Simba imemsajili kiungo huyo, Omary Omary ikielezwa kashapewa mkataba wa miaka miwili na kilichobaki ni kutangazwa kama ilivyokuwa kwa Lawi aliyenyakuliwa kutoka Coastal Union iliyoamua kuikataa biashara hiyo…

Read More

MTU WA MPIRA: Kuna Bocco mmoja tu, halafu eti anaondoka!

KILA mwanadamu huzaliwa mara moja, huishi mara moja na kufariki mara moja. Iko hivyo. Ila katika kila eneo kuna mwanadamu wa kipekee. Leo nimzungumzie John Bocco ‘Adebayor’. Straika halisi wa mpira. Straika Bora wa muda wote wa Ligi yetu. Nyakati zimekwenda wapi? Majuzi Simba imetangaza kuwa Bocco hatakuwa sehemu ya kikosi chao kwa msimu ujao….

Read More

BALOZI NCHIMBI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA TIXON NZUNDA SONGWE

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo ameongoza maelfu ya waombolezaji wakiwemo viongozi na wananchi kutoka maeneo mnalimbali nchini, walioshiriki mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon Nzunda, yaliyofanyika huko Msinde, Kata ya Mpemba, Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe, Jumamosi Juni 22, 2024. Marehemu Nzunda,…

Read More

Iringa wajipanga maandalizi uchaguzi serikali za mitaa

Mufindi. Serikali ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), tayari imefanya shughuli mbalimbali kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa ambao unatarajiwa kufanyiwa   Oktoba mwaka huu. Mkuu wa Mkoa wa Iringa,  Peter Serukamba ameyasema hayo Leo Juni 22,2024 wakati wa mapokezi…

Read More

Idadi ya vifo vya mama wajawazito vyapungua Manyara.

Idadi ya Vifo vya wanawàke wajawazito Mkoani Manyara imepungua kutoka vifo 49 mwaka 2022 hadi kufikia vifo 24 kwa mwaka 2024. Hayo Yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa Wa Manyara Queen Sendiga wakati wa Kikao cha kutafuta uendelevu wa mfumo wa M MAMA Mkoani Hapo,Ambapo mfumo huu unatekelezwa na serikali kushirikiana wa wadau vodaphone foundation,Touch foundation…

Read More