SOS yazikutanisha nchi nane kujadili hatma ya watoto

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wadau kutoka mataifa manane ya Afrika wanakutana jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kutafuta njia za kuwasaidia watoto wanaolelewa katika vituo vya malezi mbadala kumudu maisha wanapotoka kwenye vituo hivyo. Mshiriki kutoka Zambia katika Mkutano Maalumu ulioandaliwa na Kijiji cha Watoto cha SOS, Clare Chilambo akizungumza na wanahabari wakati…

Read More

‘Msiwe kikwazo wakimbizi kurejea nchini mwao’

Kibondo. Mashirika ya kuhudumia wakimbizi yaliyopo mkoani Kigoma yametakiwa kutokuwa kikwazo kwenye makubaliano yaliyowekwa na serikali za Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), ya kuhamasisha wakimbizi kujiandikisha na kurejea nchini mwao kwa hiari. Hayo yamebainishwa Juni 20, 2024 wilayani Kibindo na Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi nchini, Sudi…

Read More

Wachimba madini waonywa matumizi holela ya zebaki

Dodoma.  Wachimbaji wadogo wa madini nchini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya kemikali ya zebaki inayotumika kuchenjulia madini,  ili wajiepushe na madhara yanayotokana na matumizi holela ya kemikali hiyo ikiwemo magonjwa ya ngozi, figo, saratani, kifua na hata kifo. Ushauri huo umetolewa leo Jumamosi Juni 22, 2024 na Baraza la Taifa la usimamizi wa mazingira (NEMC)…

Read More

DMI YASHIRIKI SIKU YA MABAHARIA DUNIANI

CHUO Cha Bahari Dar es Salaam ( DMI) kimeshiriki katika maonyesho ya siku ya mabaharia Duniani ambayo Kitaifa yanaadhimishwa katika viwanja vya Nia Njema vilivyopo katika Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani. Maonesho hayo yaliyoandaliwa na Wizara ya Uchukuzi yamehusisha taasisi mbalimbali za serikali na wadau wa tasnia ya bahari yameanza Leo tarehe 22-25/06/2024 na yamefunguliwa…

Read More

Kibaha na Meridianbet waendeleza ushirikiano

Meridianbet wameendelea kua na ushirikiano na wakazi waKibaha kwani leo tena wamefanikiwa kufika eneo hilo nakutoa msaada kwa wakazi wa hapo. Utamaduni huo kampuni ya Meridianbet wamekua nao miakanenda miaka rudi ambapo leo wamefanikiwa kutoa msaada kwajamii ya watu wa Kibaha kwa mara nyingine ambapo leohawakwenda Hospital, Lakini waligusa makundi mawili ya watumoja ni familia…

Read More

Vipeperushi vyatangaza mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, viongozi watua Dodoma

Dar es Salaam. Wakati vipeperushi vikisambaa kwenye mitandao ya kijamii vikieleza kuhusu mgomo wa wafanyabiasha Kariakoo kuanzia Jumatatu, Juni 24 2024, uongozi wao umewataka kuwa watulivu, ukisema tamko litatolewa siku hiyo. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Karikaoo, Martin Mbwana akizungumza na Mwananchi leo Juni 22, 2024 amekiri kuona vipeperushi hivyo, akieleza hiyo ni hasira…

Read More