Rais Samia aondoa wengine wawili Ikulu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, kwa mara nyingine akiigusa ofisi yake. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka leo Juni 22, 2024, Rais Samia amewapangia kazi nyingine watumishi wawili waliokuwa maofisa waandamizi, Ofisi ya Rais Ikulu. Katika taarifa hiyo…

Read More

ACT-Wazalendo yatoa tahadhari mwenendo wa deni la Serikali

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kukopa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo, hali ya deni la Serikali na masuala ya mikopo yameendelea kuibua mijadala miongoni mwa jamii,  baadhi wakidai ndicho chanzo cha kodi zinazolalamikiwa. Kufuatia mwenendo wa deni la Serikali ambalo sasa linatajwa kufikia zaidi ya Sh90 trilioni, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema bajeti…

Read More

MTU WA MPIRA: Hili la Lawi ni kituko kingine

KUNA vitu Tanzania vinachekesha sana. Ni kama hili sakata la mchezaji Lameck Lawi, Simba na Coastal Union. Ni kichekesho. Kwa mara ya kwanza nimeona duniani timu inatangaza kuwa imemnunua mchezaji fulani halafu wale waliomuuza wanakataa. Yaani, Simba inasema imemnunua Lawi kutoka Coastal Union ya Tanga. Saa chache baadaye Wagosi wa Kaya wanasema hawajamalizana na Simba….

Read More

VIJANA, WAKINA MAMA TANGA WATANGAZIWA FURSA YA KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organazation (TOIO) Shaukatali Hussein akiwaonyesha wanahabari ambao hawapo pichani bajaji inayotumia umeme walioyoitengeneza Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Open Innovation Organazation (TOIO) Shaukatali Hussein akikagua moja ya bajaji ambazo zinatarajiwa kuunganishwa na baadae kutengenezwa kwa ajli ya kutumia umeme Na Oscar Assenga, TANGA VIJANA na Wakima mama waliopo…

Read More

Utafiti wabaini hatari utumiaji usiofaa wa protini lishe

Dar es Salaam. Utafiti mpya umeonyesha matumizi yasiyo sahihi ya protini lishe za mazoezi, yanaweza kusababisha kuziba ghafla mishipa mikubwa ya damu ya moyo. Hayo ni kwa mujibu wa  Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Chapisho la utafiti huo lililowekwa kwenye jarida la SAGE Open Medical Case Reports la nchini Uingereza, linashabihiana na utafiti…

Read More

TBA YATOA ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

  MKURUGENZI wa huduma saidizi Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mathias Mhembe,akizungumza  kwenye Banda la TBA katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma. MTUMISHI kutoka Shirika Umeme Tanzania (TANESCO),Salama Kasamaru,akiupongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) mara baada ya kupata elimu katika banda la TBA katika maonesho ya Wiki…

Read More

JKU kupewa ndoo ya ubingwa kecho New Amaan Complex

MAAFANDE wa JKU imemaliza ubishi kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kutoka sare ya 1-1 na Kipanga, na kesho jumapili itakabidhiwa taji hilo katika sherehe zitakazoenda sambamba na mechi maalumu itakayopigwa Uwanja wa New Amaan, Unguja. JKU iliyokuwa ikiongoza msimamo wa Ligi hiyo kwa muda mrefu ilikuwa inahitaji pointi moja tu kabla…

Read More

Mahujaji zaidi ya 1,000 wafariki Makka, Bakwata yasema…

Dar es Salaam. Wakati taarifa zikitolewa kuhusu mahujaji zaidi ya 1,000 kufariki wakati wa ibada ya Hijja nchini Saudi Arabia, Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Alhaj Nuhu Mruma amesema kati ya waliofariki hakuna Mtanzania. Kwa mujibu wa vyombo vya habari mbalimbali vya kimataifa,  vifo hivyo vimetokana na  joto kali lililofikia nyuzi…

Read More