Luvanga apata dili za Marekani

NYOTA wa kimataifa, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Saudia huenda msimu ujao akaibukia Marekani baada ya kuanza mazungumzo na moja ya timu za nchini humo. Ikumbukwe Clara msimu uliopita, Nassr inayomiliki pia timu ya Ligi Kuu ya Saudia kwa wanaume anayoichezea Cristiano Ronaldo ilivunja mkataba wa straika huyo na Dux Lugrono ya Hispania ikiwa…

Read More

VIDEO: Moto waua watoto watatu wa familia moja

Arusha. Watoto watatu wa familia moja wamepoteza maisha na wengine wanane kunusurika,  akiwemo mtoto mchanga wa siku tano katika ajali ya moto iliyotokea eneo la Olmatejoo jijini Arusha. Chanzo cha moto huo kinatajwa kuwa ni kompyuta mpakato  iliyokuwa imechomekwa kwenye soketi ya umeme kushika moto na kuunguza kochi na kusababisha vifo vya watoto hao. Katika…

Read More

Ukosefu takwimu halisi za watalii mwiba sekta ya utalii

Unguja. Licha ya sekta ya utalii kupiga hatua na kuchangia asilimia 30 ya Pato la Taifa, bado kuna changamoto ya kupata idadi kamili ya wageni wanaoingia Zanzibar, hivyo kuwapo mianya ya upotevu wa mapato. Hata hivyo, uzinduzi wa huduma ya mawasiliano ya kipekee kwa watalii ijulikanayo ‘Hakuna Matata’ itakayotolewa na TigoZantel, imetajwa kuwa sehemu ya…

Read More

WADAU WA MADINI WAPIGWA MSASA DODOMA

Tume ya Madini inaendelea kutoa elimu kwa wadau wa madini na wananchi wote kutoka katika Mkoa wa Dodoma kwenye Wiki ya Maonesho ya Madini inayoambatana na Kongamano la Wachimbaji wa Madini yanayoendelea katika Viwanja vya Jakaya Kikwete, leo tarehe 22 Juni 2024, Dodoma. Elimu inatolewa katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na fursa za uwekezaji…

Read More

Makontena 25 ya vileo yaendelea kushikiliwa bandarini

Unguja. Zaidi ya miezi mitatu sasa makontena 25 ya vileo yameendelea kushikiliwa katika Bandari ya Malindi, Zanzibar. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Bodi ya Vileo Zanzibar kuliagiza Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) kuzuia uingizaji wa bidhaa hizo kwa madai wahusika hawana vibali vya kuingiza bidhaa hiyo. Sakata la uingizaji pombe Zanzibar lilibuka Februari, 2024 baada…

Read More

KANISA LA KLPT LAONGOZA IBADA YA SHUKRANI YA KUSTAAFU KWA ASKOFU DKT. TIBANENASON, WAASWA KUWA WAKWELI

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv KANISA La Pentekoste Tanzania (KLPT), leo Juni 21, 2024 limeongoza ibada kwaajili ya kumuaga na kumpongeza, Mwangalizi Mkuu Mstaafu wa kanisa hilo, Askofu Dkt. Philemon Tibanenason ambaye ametimiza miaka 58 ya uhudumu katika kanisa la Mungu hapa nchini. Mchungaji Dkt. Philemon Tibanenason alianza kulitumikia kanisa mara tuu baada ya kuoa…

Read More

DKT.DIMWA: DK.MWINYI AMEWASHIKA PABAYA ACT-WAZALENDO

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Jumbi katika ziara ya Wajumbe wa Sektetarieti ya Kamati Maalum ya NEC CCM Taifa Zanzibar. NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akivishwa sikafu na Vijana wa Hamasa baada ya kuwasili katika Ofisi za CCM Mkoa wa Magharibi iliyopo…

Read More