Waziri ataka Serikali, sekta binafsi kuchangamkia fursa za uchumi wa buluu

Bagamoyo. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amesema jitihada za makusudi zinapaswa kufanywa ili kuziendeleza fursa mbalimbali za uchumi wa buluu ambao haujaangaziwa. Amesema Serikali zote mbili za Tanzania Zanzibar,  zinapaswa kuzichangamkia kwa kushirikiana na sekta binafsi ili kuchochea maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Dk Khalid amesema…

Read More

TUCTA yaipongeza Serikali kuhusu Kikokotoo, yashauri maboresho yafanyike pia kwa Sekta Binafsi

  Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa walipwa asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35 kwa watumishi ambao walikua wakipokea asilimia 25 kabla mifuko hiyo kuunganishwa Pongezi hizo zimetolewa…

Read More

Ifakara walia na adha ya maji

Ifakara. Wananchi wa kijiji cha Mpanga kilichopo katika halmashauri ya mji wa Ifakara wapo hatarini kupata magonjwa ya kuhara na homa ya matumbo, kutokana na kutumia maji ya kisima yasiyokuwa safi na salama kwa matumizi ya binadamu. Maji hayo yenye mwonekano wa maziwa yamekuwa yakitumiwa na wananchi wa kijiji hicho hasa wa kitongoji cha Miwangani…

Read More

VODACOM OPEN LUGALO 2024 KUTIMUA VUMBI JULAI

MASHINDANO makubwa ya ‘Vodacom Open Lugalo 2024’ yanatarajiwa kutimua vumbi Julai 5,6 na 7 mwaka huu katika viwanja vya Lugalo, Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa klabu wa hiyo, Bregedia Jenerali Mstaafu, Michael Luwongo amesema mashindano hayo yatashirikisha klabu zote nchini. Luwongo amesema wachezaji wameanza kujisajili kwa kasi kwa…

Read More

TUCTA YAIPONGEZA SERIKALI KUHUSU KIKOKOTOO,YASHAURI MABORESHO YAFANYIKE PIA KWA SEKTA BINAFSI

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa wanapokea asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35 kwa watumishi ambao walikua wakipokea asilimia 25 kabla mifuko hiyo kuunganishwa. Pongezi hizo zimetolewa na…

Read More

Balozi Ruhinda, mpinzani wa uchifu wa kikoloni

Tukiwa bado na majonzi ya kumpoteza Balozi Ferdinand Kamuntu Ruhinda, mmoja kati ya wazalendo walioitumikia nchi hii kwa muda mrefu na kwa mapenzi makuu, hatuna budi kuendelea kuyaenzi yale mazuri aliyoyafanya. Kuna mambo mengi aliyoyafanya, ambayo hayakujulikana kabla ya kifo chake na hivyo kumfanya awe maarufu baada ya kuondoka duniani kuliko kipindi cha uhai wake….

Read More

RAIS SAMIA NA MGENI WAKE RAIS WA JAMHURI YA GUINEA-BISSAU MHE. EMBALÓ, WASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA MUONGOZO WA USHIRIKIANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló, wakati wakishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Muongozo wa Ushirikiano baina ya Nchi mbili, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Juni, 2024. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…

Read More

Unyanyapaa bado kikwazo kwa wanaoishi na VVU

Unguja. Baraza la Taifa la Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (Nacopha) na Jumuiya ya Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi Zanzibar (Zapha+), wameingia makubaliano kuunganisha nguvu katika kukabiliana na changamoto zinazowakabili, ukiwamo unyanyapaa. Licha ya kuwapo mafanikio katika kukabiliana na watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), wameeleza bado wanakabiliwa na unyanyapaa katika jamii…

Read More