Jokate awananga vijana wabebao mabegi ya wagombea

Iringa. Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Jokate Mwegelo amewataka vijana kutotumika vibaya kubeba mabegi ya watu wanaotaka kugombea katika nafasi mbalimbali,  kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu hapo mwakani. Amesema badala ya kutumika vibaya, vijana hao wanapaswa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali na kwamba wapo tayari…

Read More

Ustaadh matatani madai ya kumfanyia ukatili mwanawe

Musoma. Ustaadh wa msikiti wa Aljazeera uliopo katika Mtaa wa Nyabisare, manispaa ya Musoma mkoani Mara ameingia matatani kwa tuhuma za kumfanyia ukatili na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili mtoto wake wa kumzaa. Ustaadh huyo, Issa Mgema (30) anadaiwa kumfanyia ukatili kwa kumpiga na kumchapa na waya wa umeme sehemu mbalimbali za mwili mtoto huyo…

Read More

Uwanja wa ndege watajwa kuifungua Mbarali kiuchumi

Mbeya. Kuwapo kwa uwanja wa ndege katika kijiji cha Mulungu kilichopo Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya,  kumetajwa kuinua uchumi na kufungua fursa za ajira kwa vijana hasa kwenye sekta ya utalii. Uwanja huo wenye urefu wa kilomita 1.2 ambao umezinduliwa Juni 20, umejengwa na Serikali kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Hifadhi ya Taifa…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Komasava na saluti zote kwa Ng’olo Kante

ALIONDOKA uwanjani na kitambaa katika bega kama nahodha, tabasamu usoni. Sura chini. Mfupi kama alivyo, shujaa kama alivyo, N’Golo Kante alinikumbusha mbali katika pambano la majuzi kati ya Ufaransa dhidi ya Austria kule Ujeumani. Kwamba N’Golo ni yule yule tu. Baada ya pambano aliingia katika vyumba vya kubadilishia nguo na wachezaji wenzake wakaanza kumshangilia. Mchezaji…

Read More

Latra yatangaza ruti mpya za daladala Kigamboni

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra),  imetangaza ruti mpya za daladala kutoka Kigamboni kwenda katikati ya jiji ikihusisha Kigamboni – Stesheni, Kigamboni – Mnazi Mmoja na Kigamboni Muhimbili. Tangazo la ruti hizo limetolewa jana Juni 21, 2024 kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram wa mamlaka hiyo. Daladala zinazotakiwa kuingia barabarani katika…

Read More

Dube amaliza utata Azam FC, ishu na Yanga iko hivi

HABARI mpya ni kwamba Prince Dube ameilipa Azam FC Sh500Mil na sasa yuko huru kujiunga na Yanga ambayo imekuwa ikihusishwa nae tangu asuse na kuondoka Chamanzi. Mwanaspoti awali liliripoti kwamba Prince Dube ameukana mkataba wake na Azam FC unaoisha 2026 na akaondoka Chamanzi. Staa huyo alikwenda kushtaki kwenye Shirikisho la soka la Tanzania(TFF) na kesi…

Read More

TUCTA wapongeza bajeti ya fedha mwaka 2024/2025

Shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) wameipongeza Serikali Kwa kutenga kiasi cha Shilingi trillion 11.7 Kwa ajili ya kugharamia matumizi ya mishahara ambayo yanajumuisha kupandisha madaraja,ajira mpya,stahiki Mbalimbali za watumishi na nyingeza ya mkupuo kwa watumishi wa umma kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025. Akitoa tatarifa Kwa waandishi wa habari Mjini Morogoro Rais wa…

Read More

‘Ondoeni kodi asilimia 2 kwa wakulima’Mbunge Cherehani

*MBUNGE CHEREHANI – ONDOENI KODI ASILIMIA 2 KWA WAKULIMA*   Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ameiomba Serikali kuiondoa kodi ya asilimia 2 kwa wakulima wa mazao nchini suala ambalo linakwenda kuwaathiri na kuongeza gharama kubwa kwa wakulima.   Akiongea Bungeni jijini Dodoma Mhe. Cherehani wakati akichangia Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha…

Read More

Watasumbua sana soko la usajili WPL  

LIGI Kuu ya Wanawake (WPL) imemalizika mapema wiki hii kwa Simba Queens kubeba taji la nne tangu kuasisiwa kwa michuano hiyo mwaka 2016, kuashiria kufungwa kwa msimu wa 2023-2024 na klabu kwenda mapumziko kujiandaa na msimu ujao wa 2024-2025. Ligi hiyo imeisha ikiacha gumzo kutokana na ushindani mkubwa uliokuwapo kwa klabu 10 shiriki na Simba…

Read More