KATIBU MKUU ALLY GUGU ATEMBELEA BANDA LA BUNGE MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Ndg. Ally Gugu akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa wa Bunge katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma. Afisa wa Bunge Ndg. Omary Machunda akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya…