NAIBU WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BUNGE MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Ofisi ya Bunge katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwenye Viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma hii leo. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi…