Mmiliki mabasi ya Sawaya hatihati kupelekwa gerezani

Moshi. Wakati Mahakama ikilitupa ombi la mfanyabiashara, Rowland Sawaya la kuongezewe muda wa kukata rufaa, mdai katika shauri hilo amewasilisha ombi la kukazia hukumu, akitaka mdaiwa huyo afungwe gerezani kama mfungwa raia. Lengo ni kumweka gerezani hadi alipe Sh584.3 milioni zinazotokana na hukumu ya Mahakama Kuu Kanda ya Moshi ya mwaka 2004, iliyomuamuru kulipa Sh50.2…

Read More

Qatar yaendeleza juhudi za upatanishi Gaza – DW – 21.06.2024

Waziri wa mambo ya nje wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani amewaeleza waandishi wa habari wakati wa mkutano wa pamoja na waziri mwenzake wa Uhispania mjini Madrid kwamba juhudi za kutafuta usuluhishi zimeendeleabila ya kuingiliwa. Amesema wamekuwa na mikutano kadha na viongozi wa Hamas, kujaribu kuunganisha pande hizo mbili ili kufikiwa makubaliano yatakayochangia kusitishwa…

Read More

WAZIRI KAIRUKI ATOA WITO KWA NCHI WANACHAMA WA AFR100 KUWEKA MIFUMO YA UFUATILIAJI KATIKA KUONGOA MISITU ILIYOHARIBIWA

Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ametoa wito kwa nchi wanachama wa Mkakati wa Kuongoa Ardhi na Misitu iliyoharibiwa takribani Hekta milioni 100 Barani Afrika (African Forest Restoration Initiatives – AFR100), kuweka mifumo ya ufuatiliaji na tathmini ya kielektroniki kuhakikisha lengo la kuongoa misitu hiyo linafikiwa kwa kuona uhalisia…

Read More

MILIONI 250 ZAIDHINISHWA UJENZI WA DARAJA LA KILOKA WILAYANI MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali imeshaidhininisha kiasi cha shilingi Milioni 250 kwaajili ya ujenzi wa daraja la Kiloka linaounganisha kijiji cha Kiloka na vijiji jirani ambalo lilisombwa na maji ya Mvua zilizonyesha mwanzoni mwa mwaka huu nchini. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila wakati wa ziara yake ya kikazi…

Read More

NEMC kutumia Sabasaba kutoa elimu ya mazingira

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limejipanga kutoa elimu kwa umma na kufanya usajili wa miradi ya uwekezaji kwa kuzingatia tathmini ya athari za mazingira kwenye Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF). Hayo yamebainishwa Dar es Salaam leo Juni 21, 2024 na…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Coma Sava na saluti zote kwa Ng’olo Kante

ALIONDOKA uwanjani na kitambaa katika bega kama nahodha, tabasamu usoni. Sura chini. Mfupi kama alivyo, shujaa kama alivyo, N’Golo Kante alinikumbusha mbali katika pambano la majuzi kati ya Ufaransa dhidi ya Austria kule Ujeumani. Kwamba N’Golo ni yule yule tu. Baada ya pambano aliingia katika vyumba vya kubadilishia nguo na wachezaji wenzake wakaanza kumshangilia. Mchezaji…

Read More

Tembo amuua mtalii wa Marekani nchini Zambia

Mtalii wa Kimarekani mwenye umri wa miaka 64 aliuawa wiki hii na tembo katika mji wa Livingstone kusini mwa Zambia. Katika taarifa siku ya Alhamisi, kamishna wa polisi wa Mkoa wa Kusini Auxensio Daka alisema kuwa Juliana Tourneau alikumbana na hatima yake Jumatano alasiri katika Daraja la Utamaduni la Maramba huko Livingstone. Daka alisema kuwa…

Read More