Rais Samia kunogesha tamasha la Utamaduni

RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Utamaduni litakalofanyika mkoani Ruvuma katika viwanja vya Maji Maji kuanzia Julai 20-27 mwaka huu. Hayo yamewekwa wazi na Naibu waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, katika uzinduzi rasmi wa tamasha hilo uliofanyika juzi jijini Dar es Salaam….

Read More

Mume adaiwa kumuua mkewe | Mwananchi

Geita. Watu wanne wamepoteza maisha mkoani Geita katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mume kudaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga na kitu kizito kichwani, lililotokea katika Kitongoji cha Msasa, Kata ya Nyarugusu, wilayani Geita. Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita imesema Juni 17, 2024 saa 11 jioni, Ndaki Shabani (35), mchimbaji wa madini Msasa…

Read More

VIONGOZI PELEKENI TAARIFA SAHIHI KWA WANANCHI

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mhe. Beno Malisa akifungua kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Jiji la Mbeya tarehe 21 Juni 2024 Mkoani Mbeya. Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe. Dormohamed Issa Rahmat akitoa neno la shukrani katika kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi Halmashauri ya Jiji…

Read More

Kanisa Katoliki lamsimamisha padri anayetuhumiwa mauaji ya Asimwe

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba limemsimamisha kutoa huduma za kichungaji Padri Elipidius Rwegoshora kufuatia tuhuma zinazomkabili za kuhusika katika mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Asimwe Novart. Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba, Jovitus Mwijage ametangaza uamuzi huo kupitia gazeti la Kiongozi linalotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  toleo lake…

Read More