Hivi ndivyo anavyopaswa kulala mjamzito

Dar es Salaam. Mwanamke anapopata ujauzito hupitia mabadiliko mbalimbali ya mwili na afya yake. Inaelezwa mara zote mabadiliko hayo husababishwa na mtoto aliyetumboni, lakini pia, kuongezeka kwa homoni mwilini mwake. Wataalamu wanasema mabadiliko hayo huyafanya maisha ya mjamzito kubadilika kuanzia kwenye mavazi, chakula, uwezo wa kutekeleza majukumu ya kila siku sambamba na namna ya kulala….

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Makang’a, Lanso wanukia Singida BS, Ngalema agombewa kanda ya ziwa

UONGOZI wa Singida Black Stars umeanza kufuatilia kwa karibu saini ya beki wa kulia wa KMC, Abdallah Said Ali ‘Lanso’. Lanso alitua KMC katika dirisha dogo la msimu uliopita akitokea Mlandege Zanzibar na kusaini mkataba wa miaka miwili wenye kipengele kinachomruhusu kuondoka akipata timu na Singida inataka kukitumia. NYOTA wa Dodoma Jiji, Abubakar Ngalema ameanza…

Read More

TBS YASHIRIKI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

AFISA  Rasilimali Watu kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Faidha Nyenzi,akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika  banda la TBS katika  Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma 2024 yanayoendelea Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma. MKURUGENZI wa Rasilimali Watu na Utawala kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Bi.Viola Masako, akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda…

Read More

Utawala wa Biden unapiga marufuku Wamarekani kutumia programu ya usalama wa mtandao iliyotengenezwa nchini Urusi juu ya maswala ya usalama wa kitaifa.

Utawala wa Biden unachukua hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa ya kupiga marufuku makampuni na raia wa Marekani kutumia programu zilizotengenezwa na kampuni kubwa ya ulinzi ya mtandao ya Urusi kwa sababu ya masuala ya usalama wa taifa, Katibu wa Idara ya Biashara Gina alitangaza Alhamisi. Hatua hiyo inatumia mamlaka mpya ya Idara ya Biashara iliyojengwa kwa…

Read More

Mambo sita ya kufanya kuimarisha afya ya ubongo

Dar es Salaam. Ikiwa wewe ni miongoni mwa watu wasiolala inavyopaswa, basi fahamu unauumiza ubongo wako na kuufanya ushindwe kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Wataalamu wa akili na ubongo, wanasema wapo watu wenye uwezo mkubwa wa akili, lakini kutokana na kutolala kwa saa sita mpaka nane mfululizo kwa siku, ubongo wao huishia kufanya kazi kwa asilimia…

Read More

NSSF YAANZA KUWAONDOA WADAIWA SUGU KATIKA NYUMBA ZAKE

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeanza zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu walioshindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wa ununuzi wa nyumba katika miradi yake ya Dar es Salaam. Zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu hao lilifanyika tarehe 18 Juni 2024 katika mradi wa nyumba za Kijichi, Temeke. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Meneja Miliki…

Read More

IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAWAAGA WASTAAFU.

NA, SABIHA KHAMIS MAELEZO Mwenyekiti wa Bodi ya Idara Habari Maelezo Zanzibar Yussuf Omar Chunda amewataka wafanyakazi kuwa na nidhamu wanapokuwa kazini ili kuwajengea heshima wanapofikia kustaafu. Wito huo ameutoa katika hafla fupi ya kuwaaga wafanyakazi wawili wa Idara hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo amesema nidhamu inapodumu kwa mfanyakazi hupelekea mashirikiano mazuri kwa…

Read More

Mapya yaibuka usajili wa Lawi Simba SC

MUDA mchache baada ya Simba kumtambulisha beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi baada ya kumsajili kwa mkataba wa miaka mitatu, mapya yameibuka. Ipo hivi. Mwanaspoti ndio lilikuwa gazeti la kwanza kuandika stori ya beki huyo kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba msimu ujao, lakini mambo yameenda tofauti. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani…

Read More