Father: Bocco karusha taulo mapema!

SIKU chache baada ya Simba kutangaza kumtema aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya vijana ya klabu hiyo U17, makocha kadhaa akiwamo Idd Pazi ‘Father’ amedai kushangazwa na nyota huyo kutupa taulo mapema. Pazi, nyota wa kimataifa wa Tanzania aliyewahi kuwika na Majimaji, Simba na…

Read More

Msingi Umewekwa kwa Uamsho wa Kikristo Barani Ulaya.

HITIMISHO lililofanikiwa la Semina ya Ulimwengu nchini Ufaransa.Unabii wa Ufunuo na Utimizo Wake Wafichuliwa… Zaidi ya Washiriki 7,000 Wakiwemo Wachungaji 1,000.Mwenyekiti Lee Man-hee. “Tambua Ufunuo na Uufundishe kwa Wumini wa Kanisa Lako”Wachungaji wa Ulaya Waliohudhuria: “Tunataka Kujifunza Ufunuo”… Matarajio ya Uamsho wa Kanisa Kupitia Mabadilishano ya Kuendelea “Mafundisho yanayofafanua Kitabu cha Ufunuo yalikuwa ya kina…

Read More

Benki zachangia Sh3.9 trilioni kwenye kodi

Dar es Salaam. Ripoti mpya ya Sekta ya benki nchini Tanzania imeonyesha kuwa sekta hiyo imechangia zaidi ya Sh3.9 trilioni kwenye mapato yatokanayo na kodi katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2021 hadi 2023. Hii ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Chama cha Mabenki Tanzania (TBA) uliohusisha benki 26 ukilenga kuonesha mchango wa…

Read More