Sababu Polisi kumkomalia Dk Nawanda

Dar/Mwanza. Wakati waandishi watatu waliokuwa wakishikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza wakiachiwa kwa dhamana, usiri umeendelea kutanda dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda kama ameachiwa au anaendelea kushikiliwa. Waandishi hao, Dinna Maningo, Mwanga Wachu na Costantine Mathias wameachiwa leo Alhamisi, Juni 20, 2024 baada ya kushikiliwa kwa siku…

Read More

Nzunda aagwa Kilimanjaro, madereva wa Serikali wanyooshewa kidole

Moshi. Wakati mamia ya waombolezaji wakiaga mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (56), aliyefariki dunia kwa ajali ya gari yeye na dereva wake, serikali imetakiwa kuwabana madereva wote wakiwemo wa Serikali wanaovunja sheria za usalama barabarani na kusababisha ajali zisizo za lazima. Nzunda na dereva wake, Alphonce Edson(54) walifariki Juni…

Read More

WANANCHI WA BARIADI WAVUTIWW NA ELIMU YA FEDHA

Afisa Mkuu Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Mwile Kauzeni, akitoa ufafanuzi kwa washiriki wa mafunzo ya elimu ya fedha katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, akiwa miongoni mwa timu ya watoa elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha, miongoni mwa elimu aliyotoa ni pamoja na kuwaelimisha wananchi njia mbalimbali watakazotumia…

Read More

Sakata la sukari lamuibua Kingu, ataka wananchi walindwe

Dodoma. Mbunge wa Singida Magharibi (CCM), Elibariki Kingu amewakemea vikali baadhi ya watu wenye maslahi yao binafsi kutaka kukwamisha mpango wa Serikali wa kutaka kuwalinda watumiaji wa mwisho wa bidhaa ya sukari. Kingu ameyasema hayo bungeni leo Alhamisi Juni 20, 2024 alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/2025 ya Sh49 trilioni. Amesema…

Read More

Sh2.2 bilioni kupunguza maumivu ukosefu wa ajira, Dar

Dar es Salaam. Wakati vilio vya kukosekana kwa ajira vikiendelea miongoni mwa vijana, benki ya Standard Chartered imepanga kutumia zaidi ya Sh2.2 bilioni katika utekelezaji wa programu ya uwezeshaji vijana kiuchumi ili kupunguza kukabili hiyo. Fedha hizo zitatumika katika kusaidia vijana kupata ujuzi ikiwa ni maandalizi ya kupata ajira na kusaidia usimamizi wa biashara ndogo…

Read More