Mchenga Stars yaona mwezi | Mwanaspoti

TIMU ya mpira ya kikapu ya Mchenga Stars iliifunga UDSM Outsiders kwa pointi 70-60, katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Spide. Mchezo huo uliandaliwa na timu hizo kwa lengo la kuandaa timu zao katika mzunguko wa pili wa ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL) Julai 6. Baada ya mchezo kumalizika…

Read More

DKT. MPANGO AELEKEZA MADINI YA KIMKAKATI KUWEKEWA MKAZO

-Asisitiza Wizara kuzingatia masuala muhimu ya uwekezaji na kufanyika maamuzi ya haraka -Mavunde asema Wizara kununua Helkopta kwa shughuli za utafiti wa Kijiofizikia, Maabara Kubwa kujengwa Dodoma -FEMATA Waomba kuanzishwa Soko la Madini la Kimataifa Z’bar Dodoma MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameilekeza Wizara ya Madini na Taasisi…

Read More

Lameck Lawi atambulishwa Unyamani | Mwanaspoti

Beki mzawa Lameck Lawi amekuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa Simba SC katika kipindi hiki cha usajili wa kuelekea msimu mpya 2024/25. Lawi ametambulishwa Msimbazi akitokea Coastal Union aliyoitumikia kwa juhudi kubwa msimu uliopita na kufanikiwa kuwa sehemu ya wachezaji walioipeleka klabu hiyo kombe la Shirikisho Barani Afrika. Taarifa iliyoandikwa kupitia SimbaAPP ambayo imeambatana na utambulisho…

Read More

TARURA ONGEZENI UMAKINI KWA WAKANDARASI:MHANDISI MATIVILA

Na Mwandishi Wetu, Morogoro. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya OR-TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu  Mhandisi. Rogatus Mativila ameitaka Wakala ya barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) mkoa wa Morogoro kuongeza umakini kwa wakandarasi waotekeleza miradi ya Ujenzi wa barabara na madaraja ili miradi hiyo iweze kukamilika kwa ubora na viwango vinavyotakiwa. Mhandisi Mativila ameyasema hayo leo wakati…

Read More

Dola bilioni 1 kuwezesha uzalishaji wa chanjo Afrika – DW – 20.06.2024

 Katika mkutano huo, kumetangaza ufadhili wa dola bilioni 1.2 zitakazowezesha kuzalisha chanjo huko Afrika, bara ambalo linakabiliwa na matatizo mengi ya kiafya ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa magonjwa ya milipuko kama kipindupindu. Mbali na viongozi wa Magharibi, mkutano huo umehudhuriwa pia na viongozi kutoka nchi kadhaa za Kiafrika kama Botswana, Rwanda, Senegal, Ghana, Mataifa…

Read More

Rais Samia kuzindua Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Julai

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma maarufu Mwana FA amesema Tamasha la Kitaifa la Utamaduni litakuwa la kihistoria na litakusanya tamaduni kutoka mikoa yote Tanzania. Tamasha hilo la siku saba litakalofanyika katika viwanja vya Maji Maji Ruvuma, kuanzia Julai 20 hado 27, 2024 linatarajiwa kuzinduliwa na Rais Samia Suluhu…

Read More

Hoja za usalama, akili bandia kutawala mkutano wa IPU

Unguja. Hoja ya ulinzi, usalama na amani inatarajiwa kuchukua nafasi kubwa wakati wa mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani unaotarajiwa kufanyika Oktoba nchini Uswis. Mbali na hoja hiyo, mengine yanayotarajiwa kujadiliwa ni masuala ya akili bandia na mabadiliko ya tabaianchi. Akizungumza leo Juni 20, 2024 baada ya kukamilisha kikao cha Kamati Tendaji ya IPU, Rais…

Read More