Hawa ndio wakali wa kutupia pointi 3

UKITAKA kuwabana mafundi wa kufunga mitupo ya pointi tatu (three pointer) ili wasifunge, inakupasa ucheze nao kwa karibu muda wote wa mchezo. Kucheza naye kwa karibu kutawafanya wachezaji hao washindwe kurusha mpira katika maeneo yao ya mitupo ya pointi tatu-tatu. Kitakachotokea baada ya kubanwa, watupiaji hao wataishia kulalamika kuwa wanatendewa madhambi. Tukio hilo la kubanwa…

Read More

Kundemba yaishusha rasmi Ngome ZPL

USHINDI wa mabao 4-2 iliyopata Kundemba jana katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) umeishusha rasmi Ngome iliyokuwa ikicheza ligi hiyo kwa mara ya kwanza ambayo sasa inazifuata Maendeleo na Jamhuri za Pemba zilizoshuka mapema. Kundemba ambayo nayo haina uhakika wa kusalia kwenye ligi hiyo iwapo itachemsha katika mechi ya kufungia msimu, ilipata…

Read More

BODI MPYA YA USIMAMIZI WA VIWANDA VYA DAWA MEDPHARM YAZINDULIWA

Na WAF – ARUSHA Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amezindua bodi mpya ya usimamizi wa kampuni tanzu ya ‘MSD MEDPHARM’ pamoja na kampuni tanzu ya ‘MSD Medipharm Manufacturing Compan Ltd’ itakayosimamia viwanda vya dawa na kusaidia upatikanaji wa huduma za Afya nchini. Wakati wa uzinduzi huo ulifanyika leo Juni 20, 2024 Mkoani Arusha, Waziri Ummy amesema Serikali…

Read More

Ugumu kupata miili ya waliopotea au kufariki Mlima Everest

Dar es Salaam. Katika sehemu hii ya mwisho ya mfululizo wa makala zinazohusu fahari na hatari ya Mlima Everest, tunaangazia vifo vilivyotokea katika mlima huo. Mpaka sasa, takriban watu 310 wamepoteza maisha wakipanda Mlima Everest. Mwaka 1996 ulikuwa mbaya zaidi ambapo watu 15 walikufa katika msimu mmoja. Mwaka huo unajulikana sana kama mwaka wa mauaji…

Read More

NBAA YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA MEI MWAKA 2024

Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) katika kikao chake cha 195 kilichofanyika chini ya Mwenyekiti wake CPA. Prof. Sylvia S. Temu imeidhinisha matokeo ya mitihani ya 99 ya Bodi kwa Watahiniwa waliofanya mitihani hiyo iliyofanyika mwezi Mei 2024 katika ngazi mbalimbali za masomo ya Bodi hiyo ya…

Read More

CAG kutimua mbio kuikarabati Shycom

WAHITIMU waliosoma Chuo cha Ualimu Shinyanga (SHYCOM) akiwemo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Charles Kichere wanatarajiwa kukimbia katika mbio za hisani maalumu kwa ajili ya kuchangia ukarabati wa miundombinu ya chuo hicho. Mbio hizo zinazojulikana kama Shycom Alumni Marathon zitafanyika Septemba 21, mkoani Shinyanga na CAG akaweka bayana kwamba atakimbia mbio za Kilomita…

Read More

INEC YAWATAKA WATENDAJI WA UBORESHAJI KUTUNZA VIFAA

Na Mwandishi wetu, Kigoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetaka watendaji wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoani Kigoma kuhakikisha wanatunza vifaa vya uandikishaji ili vikaweze kutumika maeneo mengine nchini. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegeke wakati akifungua…

Read More

Euro 2024 ni darasa kwa AFCON

ULAYA na dunia kwa sasa inashuhudia fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya ‘Uefa Euro 2024’ zinazoendelea Ujerumani zikishirikisha nchi 24 na sasa zimeingia raundi ya p[ili hatua ya makundi. Fainali hizi au European Championship Cup ni moja ya fainali kubwa duniani baada ya zile za Kombe la Dunia na zilianzishwa mwaka 1958, zikishirikisha mataifa…

Read More

RAIS SAMIA ASHUSHA NEEMA KYELA

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Bi. Josephine Manase akifungua kikao cha kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela tarehe 20 Juni 2024 Mkoani Mbeya. Wadau wa Sekta ya Ardhi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyela waliohudhuria Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji…

Read More