WANANCHI WA TABORA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MASOKO YA MITAJI

NA: JOSEPHINE MAJULA, WF, TABORA Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya amewataka Viongozi, Watumishi na Wananchi mkoani humo kuchangamkia fursa za uwekezaji katika Masoko ya Mitaji kwenye Taasisi rasmi zilizopewa dhamana na Serikali kufanya shughuli za uwekezaji kisheria ili kuweza kupata faida na kujikwamua kiuchumi. Dkt.Mboya, alitoa rai hiyo alipokutana na Timu ya…

Read More

WAZIRI WA AFYA AZINDUA MSD MEDIPHAM MANUFACTURING CO.LTD

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu amezindua Kampuni Tanzu ya Bohari ya Dawa inayoitwa MSD MEDIPHAM MANUFACTURING CO. Ltd., itakayosimamia viwanda vya kuzalisha bidhaa za afya, pamoja na kuzindua Bodi ya Usimamizi wa kampuni Tanzu hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Waziri Ummy Mwalimu amesisitiza kampuni tanzu hiyo kushirikisha wabia watakaokuwa tayari kushirikiana…

Read More

NIONAVYO Euro 2024 ni darasa kwa AFCON

ULAYA na dunia kwa sasa inashuhudia fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya ‘Uefa Euro 2024’ zinazoendelea Ujerumani zikishirikisha nchi 24 na sasa zimeingia raundi ya p[ili hatua ya makundi. Fainali hizi au European Championship Cup ni moja ya fainali kubwa duniani baada ya zile za Kombe la Dunia na zilianzishwa mwaka 1958, zikishirikisha mataifa…

Read More

Msemaji wa IDF asema Hamas haiwezi kusambaratishwa – DW – 20.06.2024

Vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi minane vilivyosababishwa na uvamizi usio kifani wa Hamas wa Oktoba 7 dhidi ya Israel vimeshindwa kuwaondoa wapiganaji hao kutoka Ukanda wa Gaza, lakini vimesababisha uharibifu mkubwa. “Kusema kwamba tutaifanya Hamas itoweke ni kutupa mchanga machoni mwa watu. Ikiwa hatutatoa njia mbadala, mwishowe, tutakuwa na Hamas,” Admiral Daniel Hagari alikiambia…

Read More

Hatua kwa hatua mauaji ya Milembe wa GGML

Geita. Shahidi wa 13 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa GGML, Milembe Suleman (43) aliyeuawa Aprili 26, 2023 kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili, ikiwemo kichwani, usoni na mikononi, ameeleza namna mauaji hayo yalivyofanyika. Shahidi huyo ambae ni askari wa kitengo cha upelelezi G4742…

Read More

BALOZI KASIKE AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA ATCL

Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. Phaustine Kasike leo amemtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Mha. Ladislaus Matindi na kufanya mazungumzo kuhusu fursa za usafiri wa anga kati ya Tanzania na Msumbiji. Viongozi hao wamekubaliana kuangalia uwezekano wa ATCL kutumia fursa hizo ili kutanua wigo wa biashara. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Makao…

Read More