Hifadhi ya Mikumi Yatoa Madawati 213 shule za msingi 7.
Katika kuendelea Kuunga mkono juhudu za serikali Kwenye sekta ya elimu Hifadhi ya Taifa Mikumi imetoa msaada wa Madawati Kwenye Shule za msingi saba zinazozunguka Hifadhi hiyo kwenye kata za Mhenda,Ruhembe na Mikumi. Akizungunza katika hafla ya kukabidhi Madawati kaimu Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa Mikumi. Afisa mwandamizi wa uhifadhi Buka Alfred amesema wametoa madawati…