MAKAMU WA RAIS AITEMBELEA NA KUIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU TIXON NZUNDA KILIMANJARO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kumuenzi aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro marehemu Tixon Nzunda kwa kuwa waadilifu, wazalendo na kumtanguliza Mungu katika majukumu yao. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akizungumza na waombolezaji alipowasili nyumbani kwa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa…

Read More

Huu hapa umuhimu qwa kufanya mazoezi

JUMANNE jioni kulikuwa na mjadala wakuvutia kwenye jukwaa la Jamii forum kuhusu umuhimu wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Chini ya mwamvuli wa Wizara ya Afya, mtu ni Afya, mambo lukuki yalizungumzwa na wataalam wa afya. Mwanaspoti Dokta inaungana na wataalamu hao kwa kutoa ufahamu wa umuhimu wa mazoezi. Mazoezi ni njia rahisi na…

Read More

Donesia Minja: Mkongwe anayekimbiza WPL

UKITAJA wakongwe 10 wanaokiwasha katika Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) basi huwezi kuacha kutaja jina la kiungo mkabaji Donisia Minja ambaye amekuwa bora tangu ligi hiyo ianzishwe mwaka 2017. Kiungo huyo tangu ajiunge na JKT Queens msimu wa 2017/18 amekuwa chaguo la kwanza la makocha wanaofundisha timu hiyo na kuweka ufalme kwenye eneo hilo. Mwanaspoti…

Read More

Washindi wa NMB wamwagiwa zawadi

WASHINDI wa Kampeni ya Weka, Tumia na Ushinde Kutoka Benki ya NMB, leo Jumatano wamekabidhiwa zawadi huku umati mkubwa wa wakazi wa Dodoma ukishuhudia tukio hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Kutolewa kwa zawadi hizo ni hitimisho la Kampeni hiyo ya miezi mitatu iliyofikia mwisho wake Mei mwaka huu ambapo zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya…

Read More

JKU yashikilia ubingwa wa Zanzibar mkono mmoja

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata JKU mbele la waliokuwa watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM imewafanya vinara hao wa ligi hiyo kulishikilia taji kwa mkono mmoja na hii ni baada ya Zimamoto kulazimishwa sare ya 1-1 na Mlandege mechi zilizopigwa jana mjini Unguja. JKU iliyotemeshwa taji la michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kutokana…

Read More

BAKWATA YAZINDUA MRADI WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JAMII MWANZA

NA BALTAZAR MASHAKA,ILEMELA. BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA),limezindua Mradi wa Kuchochea Maendeleo ya Jamii,mkoani humu unaolenga kukusanya sh. bilioni 2.2 kwa mwaka,uliofanyika sambamba na Baraza la Eid Al Adh’aa leo. Akizindua mradi huo Sheikh wa Mkoa wa Mwanza,Alhaji Hasani Kabeke amesema utakakuwa shirikishi unalenga kubadilisha fikra za waislamu na wasio waislamu ili kuleta maendeleo….

Read More