Wilder, Fury waporomoka WBC | Mwanaspoti

BONDIA wa ngumi za uzito duniani (Heavy Weight), Deontay Wilder ameporomoka kwenye viwango vya ubora kwenye mchezo huo, huku Tyson Fury akimpisha Oleksandr Usyk namba moja. Wilder ambaye anasubiriwa kutoa kauli juu ya hatma yake kwenye mchezo huo baada ya kuchapwa kwa Knockout ‘KO’ mara mbili mfululizo na mambondia Joseph Parker na Zhilei Zhang, ametupwa…

Read More

Utouh: Changamoto katika ununuzi wa umma tatizo sugu

Dar es Salaam. Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh amesema bado kuna changamoto katika ununuzi wa umma zinazotakiwa kupatiwa ufumbuzi wa kudumu ili kuleta maendeleo endelevu. Kutokana na changamoto hizo, Utouh ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (Wajibu), amesema wameandaa mkutano wa siku mbili utakaofanyika Agosti 6 na…

Read More

JIWE LA SIKU: Simba mpya, mitihani iko hapa!

SIMBA haijashinda mataji makubwa katika misimu mitatu iliyopita ambayo yote yamekwenda kwa watani wao, Yanga. Jambo hili halikai vizuri kwa mashabiki ambao walizoea kuiona timu yao ikishinda mataji manne mfululizo ya Ligi Kuu Bara kuanzia msimu wa 2017-18, 2018-19, 2019-20 hadi 2020-21. Wekundu wa Msimbazi walikuwa wanatwaa mataji kibabe sana kwa sababu walikuwa sio tu…

Read More

Israel yaonya juu ya uwezekano wa ‘vita vya pande zote’ baada ya Hezbollah kuchapisha video ya maeneo ya kijeshi na ya kiraia.

Israel iliionya Hezbollah siku ya Jumanne kuhusu uwezekano wa “vita vya pande zote” baada ya kundi la wanamgambo wa Lebanon kuchapisha video ya dakika 9, inayodaiwa kuchukuliwa na ndege isiyo na rubani, ikionyesha maeneo ya jeshi la Israel na raia katika miji kadhaa ya Israel. “Tunakaribia sana wakati wa kuamua kubadili sheria za mchezo dhidi…

Read More