Netanyahu aishutumu Marekani kwa kuzuia msaada wa silaha – DW – 19.06.2024

Kwenye taarifa ya vidio iliyochapishwa Jumanne Netanyahu alisema hatua hiyo ilikuwa inapunguza kasi ya mashambulizi yake katika mji wa Rafah ulioko Kusini mwa Gaza. Amesema hayo, wakati Umoja wa Mataifa ukiishutumu Israel kwa kukiuka mara kwa mara sheria za kimataifa kwenye vita hivyo baada ya kushindwa kutofautisha wapiganaji na raia.  Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amesema jana kwamba…

Read More

Kuapishwa kwa Rais wa Afrika Kusini hii leo

Afrika Kusini inatazamiwa kuanzisha Utawala wa 7 chini ya uongozi wa Cyril Ramaphosa, ambaye ataapishwa kwa muhula mpya kama Rais siku ya leo. Hafla ya kuapishwa itaendeshwa na Jaji Mkuu Raymond Zondo katika majengo ya Muungano. Tukio hilo la kifahari litashuhudiwa na watu mashuhuri kutoka kote ulimwenguni. Uapisho huo utahusisha mahudhurio ya wabunge, vigogo, viongozi…

Read More

Muonekano wa Tanzania Tower utakapokamilika

Huu ndiyo utakuwa mwonekano wa Majengo Pacha ya Tanzania Tower jijini Nairobi, Kenya, mara baada ya kukamilika kwake. Tanzania Tower itakuwa na majengo mawili yenye urefu wa ghorofa 22 kila moja – likitumika kama Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya, makazi na ofisi za kupangisha. Jengo hilo litajengwa na Mfuko wa Hifadhi wa NSSF…

Read More

Msiba wa nchi ni mbio za uchumi bila uwekezaji muhimu

Septemba 11, 2023, yalifanyika maadhimisho ya miaka 50 ya kuondolewa madarakani na kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa kidemokrasia wa Chile, Salvador Allende. Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), lilikiri kuhusika na mipango hadi utekelezaji wa mapinduzi hayo. Septemba 11, 1973, wanajeshi waasi wa Chile, walioongozwa na Jenerali Augusto Pinochet, waliizingira Ikulu ya Chile, iliyopo Santiago,…

Read More

TMA yataja chanzo mvua zinazonyesha kipindi cha kipupwe

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, mvua zinazoendelea kunyesha tangu jana katika baadhi ya mikoa nchini zimetokana na kuongezeka kwa joto la bahari magharimbi mwa Bahari ya Hindi katika mwambao wa pwani wa nchi. Mvua hizo ziliibua sintofahamu kutokana na majira ya Juni kuwa ya kipupwe, huku TMA ikitaja mikoa…

Read More