MAONESHO YA UJASIRIAMALI NA UVUMBUZI IAA 2024

Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) zaidi ya kuwafundisha wanafunzi wake masomo ya fani wanazosoma, pia inawaandaa kuweza kuanzisha biashara wakiwa chuoni ambazo zitawasaidia hata wanapomaliza masomo kuweza kujiajiri na kuajiri vijana wenzao. Uongozi wa IAA kupitia idara ya usimamizi wa biashara umeandaa maonesho ya ujasiriamali (Grand Entrepreneurship & Innovation Exhibition) yanayofanyika chuoni hapa na kushirikisha…

Read More

Utawala wa Biden unakanusha vikali madai ya Netanyahu kuwa Marekani inazuia usafirishaji wa silaha huku kukiwa na vita na Hamas.

Madai ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba utawala wa Biden kwa kiasi kikubwa unanyima uungwaji mkono wa kijeshi kwa Israel huku kukiwa na vita vinavyoendelea dhidi ya Hamas huko Gaza yalizua mkanganyiko na kufadhaika kote Washington siku ya Jumanne, huku maafisa wa utawala wa Biden wakikanusha madai hayo. “Kwa kweli hatujui anachozungumza,” katibu…

Read More

Wapangaji NSSF watimuliwa wakidaiwa kodi ya pango

Dar es Salaam. Wapangaji wanunuzi 20 wa nyumba za mradi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mtoni Kijichi wilayani Temeke wamejikuta wakitolewa kwenye makazi hayo kwa nguvu, wakidaiwa kushindwa kulipia nyumba hizo. Operesheni hiyo iliyoanza leo Juni 18, 2024 itakuwa endelevu katika kudhibiti wadaiwa sugu imeanza maeneo mbalimbali nchini kwenye miradi ya…

Read More

Lissu awataka wananchi kuinyima kura CCM kuepusha umasikini

Dar es Salaam. Makamu wa Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu amewataka wananchi wa Manyoni mkoani Singida kuikataa CCM katika chaguzi za Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji ili waondokane na ugumu wa maisha wanapaswa kumalizana na. Amesema wananchi hao wakiikataa CCM katika ngazi ya vijiji na vitongoji, watakuwa wamekikata miguu na kukivunja nguvu chama…

Read More

RC KUNENGE AIPONGEZA MAFIA KUONGEZA VYANZO VYA MAPATO NA KUPATA HATI SAFI

Na Mwamvua Mwinyi,Mafia Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Mafia kwa kufanikiwa kuongeza vyanzo vya mapato na kupata hati safi. Kunenge ameyasema hayo katika kikao cha kujadili hoja za CAG kilichofanyika wilayani Mafia mkoa wa Pwani. Amesema ,kama kuna vitu ambavyo Mhe.Rais anavisisitiza na kuvitekeleza, halmashauri nyingine zijifunze kuongeza…

Read More

Atlético Madrid wamekataa ombi rasmi la Chelsea leo kwa ajili ya kumnunua Samu Omorodion.

Atlético Madrid imekataa ofa rasmi kutoka kwa Chelsea kwa ajili ya kumnunua mshambuliaji wao, Samu Omorodion, ambayo ilikuwa takriban €30m pamoja na nyongeza ya hadi €40m. Licha ya ofa hii, Atlético Madrid imedhamiria kumbakisha Samu Omorodion kama sehemu ya kikosi chao. Wakati huohuo, Chelsea inaendelea kuwachukulia Samu Omorodion na Jhon Durán kama chaguo la mshambuliaji…

Read More

Samsung Galaxy S24 Ultra Set to Enhance and Open up the Olympic Broadcast and Viewer Experience Like Never Before at the Olympic Games Paris 2024.

   In collaboration with the IOC, and OBS, Samsung Galaxy technology will provide fans around the world with a new, up-close view of the world’s greatest athletes during the Games.   SEOUL, Korea – June 19, 2024 – Samsung Electronics Co., Ltd., a Worldwide Olympic and Paralympic Partner, today announced its plans alongside the International Olympic…

Read More