STANDARD CHARTERED BANK YAWEKEZA BILIONI 2.2 KUPITIA MRADI WA KUSAIDIA VIJANA, WENYE ULEMAVU

* Serikali yapongeza jitihada hizo zitakazotengeneza ajira kwa vijana SERIKALI Imepongeza jitihada za Benki ya Standard Chartered ambayo imezindua rasmi mradi wa ‘Futuremakers Initiative-Ready for Inclusive Suistainable Employment and Enterpreneurship (RISE/E) wenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni mbili wenye lengo la kukuza matarajio ya ajira kwa vijana wenye ulemavu pamoja na kusaidia biashara ndogo…

Read More

KUAMBIANA INVESTMENT WAALIKA WATEJA WAO KWENYE BONANZA

KAMPUNI ya Kuambiana Investment yandaa Bonanza Kwa ajili ya Kuwakutanisha karibu wateja wao na kuweka Sawa Miili yao Kwa Michezo mbalimbali . Akizungumza na Wanahabari Makao Makuu ya ofisi ya Kuambiana Sinza Jijini Dar es Salaam Meneja wa Kampuni hiyo Anna Minja amesema Wanatambua mchango mkubwa kutoka kwa Wateja wao ambao wamekuwa wakishirikiana nao kwa…

Read More