Mashabiki Simba waiganda ‘Thank you’ ya Jobe

Akufukuzae hakuambii toka. Ndiyo msemo unaoweza kuutumia kwa mshambuliaji wa Simba, Pa Omar Jobe, ambaye mashabiki wa klabu hiyo wameonyesha kiu kubwa ya kutamani kuona anaachwa. Simba wiki hii, imeanza kuwaaga wachezaji wake ambao hawatawahitaji msimu ujao, ikiwa tayari imeshawaaga wawili, aliyekuwa nahodha wake mshambuliaji John Bocco, Jumatatu Juni 17 na leo ikimuaga kiungo mshambuliaji…

Read More

Waandamanaji wakamatwa Kenya wakipinga muswada wa fedha – DW – 18.06.2024

18.06.202418 Juni 2024 Zaidi ya waandamanaji 200 wamekamatwa katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi katika maandamano yanayoendelea dhidi ya mapendekezo ya ongezeko la kodi yaliyoko kwenye muswada wa fedha unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni. https://p.dw.com/p/4hCn3 Polisi wakipambana na waandamanaji katika moja ya maandamano Kenya.Picha: Thomas Mukoya/REUTERS Makundi ya Kiraia yamesema maandamano hayo na mpango wa kukaa mbele…

Read More

CTI yampongeza Rais Samia kwa bajeti inayojali kukuza viwanda vya ndani

SHIRIKISHO la Wenye Viwanda (CTI), limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka bajeti inayojali kusisimua ukuaji wa viwanda na biashara nchini. Anaripoti Na Mwandishi Wetu…(endelea) Pia Shirikisho hilo limesema kuanzishwa kwa ada ya kuendeleza viwanda kwa bidhaa zinazotoka nje kwenye bajeti kuu ya serikali kutasaidia kulinda viwanda vya ndani, kuchochea uwekezaji na kuongeza mauzo ya…

Read More

Majadiliano Jatu, DPP bado yaendelea

Dar es Salaam. Serikali imesema bado haijafikia tamati katika majadiliano ya kuimaliza kesi baina yake na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya. Gasaya (33), anakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi akishtakiwa kwa mashitaka mawili, likiwamo la kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Wakili wa Serikali, Eric Davies ameieleza  Mahakama ya Hakimu…

Read More

Serikali ya Ruto yalegeza msimamo, mswada wa fedha 2024 – DW – 18.06.2024

Hata hivyo mswada huo umetengewa siku ya Alhamisi kujadiliwa na kupata ridhaa bungeni.Wakati huohuo, purukushani zimeshuhudiwa kutwa nzima katikati ya jiji kuu kuupinga mswada wa fedha wa 2024. Mchana huu wa siku ya Jumanne, umeshuhudia hali ya mshike mshike katikati ya jiji la Nairobi pale waandamanaji walipokusanyika na kuvurugana na maafisa wa usalama.  Dhamira ya waandamanaji…

Read More

CCM Igunga wanolewa kuhusu sheria usalama barabarani

Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Igunga mkoani Tabora, waliogawiwa pikipiki kwa ajili ya shughuli za chama wilayani humo, wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ili waepuke ajali za barabarani. Anaripoti Victor Makinda, Tabora … (endelea). Hayo yameelezwa mjini Igunga na Askari wa  kikosi cha usalama barabarani, Koplo Josiah, wakati akitoa mafunzo ya…

Read More