RAIS SAMIA I LOVE YOU HALAFU NAKUPENDA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV KUNA mambo lazima tuzungumze japo kwa lugha yoyote ambayo unaweza kuitumia lakini ikasaidia kufikisha ujumbe kwa uliowakusudia na hasa Watanzania wenzangu. Leo kuna jambo nataka kulisema,kulizungumza,kuna jambo nataka kulisimulia.Nikuombe kama uko tayari usome kuanzia mwanzo mpaka mwisho, kama unadhani hutaweza ni bora usisome. Kwanza sijakuandikia wewe.Iloooo. Sasa ndugu yangu, rafiki…