WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KWA MAFANIKIO

-Nishati Safi ya Kupikia yapigiwa chapuo-Wananchi wafurahia kuuona mradi wa JNHPP kupitia kifaa cha Uhalisia Pepe-TANESCO yatoa huduma moja kwa moja ikiwemo ya Nikonekt-Wananchi wajulishwa haki zao kupitia EWURA CCC Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zilizo chini yake imeshiriki kwa mafanikio katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi yaliyoanza tarehe 16 Juni 2024 katika Viwanja…

Read More

Ongezeko la talaka linayumbisha muhimili wa familia– 5

Dar es Salaam. Kama ambavyo simulizi hii imeonyesha namna ambavyo wanawake wanalalamika kuachwa au kutelekezwa ili wadai talaka. Aina ya talaka iitwayo kwa dini ya Kiislamu Khului, ambayo mwanamke anarudisha gharama zilizolipwa na mwanaume wakati wanaoana ili apewe talaka (ajigomboe) zimeongezeka. Kwa mujibu wa idadi ya talaka zilizotolewa kwenye maadhimisho ya wiki ya sheria visiwani…

Read More

VIDEO: Spika amkalia kooni Mpina

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amempeleka Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kumdharau yeye na Bunge. Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024, Mpina alitoa…

Read More

WIZARA YAHIMIZA UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA BAINA YA WANANDOA

Msimamizi wa Masuala ya Kijamii Bi. Tumaini Setumbi akitoa taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki upande wa kijamii na kimazingira katika mkutano wa wadau kujadili utekelezaji wa mradi huo tarehe 18 Juni 2024 Mkoani Dodoma. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mhe. George Fuime akifungua Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji…

Read More

Injini ya ndege ya Australia yawaka moto ikiwa angani

Moja ya habari iliyokamata hisia za wengi kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na ndege ya Virgin Australia Boeing 737-800 iliyokuwa ikielekea Melbourne kutua kwa dharura  huko New Zealand baada ya moto kulipuka kutoka kwenye injini muda mfupi baada ya kupaa kutoka Queenstown. Tukio hilo linaloshukiwa kusababishwa na shambulio la ndege aliyenasa kwenye injini ,…

Read More

China iwajibishwe kwa kuiunga mkono Urusi – DW – 18.06.2024

Stoltenberg amesema serikali ya Kyiv inahitaji ufadhili wa kijeshi unaooleweka na thabiti huku akipigia chapuo kuongezwa kwa mafungu katika  bajeti za ulinzi za mataifa wanachama wa NATO kutokana na  mashaka ya Donald Trump katika kuisaidia Ukraine. NATO mwezi ujao inaadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa kwake kwa mkutano wa kilele utakaofanyika mjini Washington ambao unalenga kutuma…

Read More