Moto wateketeza wagonjwa tisa waliokuwa ICU Iran

Tehran. Wagonjwa tisa wamethibitishwa kufariki dunia leo Jumanne Juni 18,2024 kufuatia moto kuzuka Hospitali ya Ghaem iliyopo mji wa Rasht Kaskazini mwa Iran. Vyombo vya habari vya Serikali vimeripoti. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP, moto huo ulizuka kuanzia saa nne usiku wa kuamkia leo na kusababisha maafa hayo. Taarifa zinasema moto huo ulifanikiwa…

Read More

TPHPA kuongeza nguvu mikoa inayovamiwa na visumbufu mimea

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) inatarajia kuongeza nguvu katika mikoa inayoonekana kuvamiwa zaidi na visumbufu mimea hasa wadudu na ndege waharibifu, ili kukabiliana na hasara wanayoipata kutokana na uharibifu wa mazao unaofanywa na wadudu pamoja na ndege hao. Hayo yamebainishwa leo Juni 17, 2024 na Mkurugenzi Mkuu wa TPHPA, Profesa…

Read More

Hatima nafuu ya maisha mikononi mwa wabunge

Dodoma. Unaweza kusema hatima ya maisha ya Watanzania kwa siku 365 zijazo kuanzia Julai mosi, mwaka huu ipo mikononi mwa wabunge, ambao leo wanaanza kujadili mapendekezo ya Bajeti ya Serikali. Wabunge wanaanza mjadala wa bajeti ambayo tayari imeibua vilio vya kodi na tozo katika bidhaa na huduma kutoka miongoni mwao na kwa wadau wengine mbalimbali….

Read More

MBUNGE UMMY MWALIMU AUNGANA NA TAASISI YA SHITTA KUTOA SADAKA WAGONJWA BOMBO HOSPITALI KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA KUCHINJA

MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CCM) na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu aungana na Umoja wa Taasisi za Kiislamu Mkoani Tanga (SHITTA) kutoa sadaka kwa wagonjwa waliolazwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga (Bombo) kusherehekea sikukuu ya Eid Al_Adha kwa ajili ya kuchinja. Mbunge Ummy alisema kwamba kushiriki kwa pamoja kutoa chakula kwa…

Read More

Chama alivyotibua dili la  Farid Simba

MISIMU mitatu ya kiraka, Farid Mussa ndani ya Yanga ameitaja kuwa ni ya mafanikio kwake  baada ya kutwaa mataji matatu ya Ligi Kuu Bara, na mataji mawili ya ngao ya jamii huku akicheza hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kiraka huyo amefunguka mambo mbalimbali akizungumza na Mwanaspoti, huku akitaja mchezo wa fainali Kombe la…

Read More

Dida ashangazwa na bao la Mudathir

KIPA aliyemaliza mkataba wake na Namungo FC, Deogratius Munishi ‘Dida’ amesema miongoni mwa mabao bora ya  msimu ulioisha, limo alilofungwa na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mudathir Yahya. Dida alilisimulia bao la Mudathir, namna lilivyomshangaza akiipa Yanga pointi tatu, mechi iliyopigwa Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam (Septemba 20, 2023), ambalo hakulitegemea,…

Read More