Magori awashusha presha mashabiki Simba, ‘aanza kazi’

KAZI imeanza na sasa heshima ya Simba inakwenda kurejea, ndiyo maneno ya mjumbe mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo,Crescentius Magori baada ya kuteuliwa na mwenyekiti wa bodi, Mohammed Dewji ‘Mo’. Hajataka kupoteza muda, ameanza majukumu yake. Mo Dewji alifanya uteuzi huo juzi Jumapili ambapo aliwachagua wajumbe ambao ni Mohamed Nassor, Salim Abdallah ‘Try…

Read More

Yanga hakuna kulala,Gamondi awapa mastaa programu maalumu

KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, hana mchezo mchezo, kila mchezaji atakaporejea kutoka mapumziko atalazimika awe katika ufiti unaotakiwa, kutokana na programu alizowapa. Gamondi amegawa programu, kulingana na kile walichokifanya wachezaji msimu ulioisha, wapo ambao watachukua muda mrefu katika mapumziko na wale ambao watatakiwa wafanye kazi ya ziada kujiweka fiti, ili msimu mpya utakapoanza wawe…

Read More

Lissu: Wananchi wanalalamika kuporwa ardhi

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu ametaja changamoto kubwa tatu zilizojitokeza kwenye mikutano yake 17 ya hadhara aliyoifanya mkoani Singida  ikiwemo unyang’anyi wa ardhi wa kutisha. Nyingine zilizojitokeza katika ziara hiyo iliyoanza tangu Juni Mosi, 2024 ni unyonyaji unaofanya na baadhi ya watumishi wa umma kwa…

Read More