Vumbi ujenzi wa barabara linavyotesa wananchi wa Gongolamboto

Dar es Salaam. “Kwa hali ilivyo, barabara ilivyojaa vumbi, huwa natembea na nguo nyingine katika begi, nikifika ofisini nabadilisha ili niwe huru kazini.” Ndivyo anavyoelezea Alfred Zacharia, mkazi wa Kitunda, jijini hapa na mtumiaji wa barabara ya Gongolamboto hadi Posta yenye urefu wa kilometa 23.33 inayoendelea kujengwa njia ya magari yaendayo haraka. Ujenzi huo unaoendelea…

Read More

DKT.DIMWA AMTEMBELEA SHEIKH MSABAHA. – MICHUZI BLOG

NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amesema Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kutekeleza wajibu wake wa kusimamia Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2020-2025 kwa kasi na kwa ufanisi kama kilivyoahidi katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita. Hayo ameyasema wakati akizungumza na Mtumishi wa Chama hicho Sheikh Salum Msabaha huko…

Read More

Mkude ni mfalme wa makombe

Mwishoni mwa msimu uliopita Yanga ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la FA, huku kiungo wa timu hiyo Jonas Mkude akiendelea kuweka rekodi ya makombe kwenye soka la Tanzania. Mkude ambaye marafiki zake wanapenda kumuita Nungunungu. Huyu  ni kama damu yake ina vinasaba ‘DNA’ vya makombe kutokana na idadi ambayo ameshayatwaa kuanzia…

Read More

MFAHAMU MSEMAJI MPYA WA SERIKALI THOBIAS MAKOBA

Thobias Makoba, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali. Bw. Makoba anachukua nafasi ya Mobhare Matinyi ambaye amepangiwa majukumu mengine. Kabla ya Uteuzi huu Bw. Makoba alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Ofisi ya Majili wa Hazina.MFA Kabla ya kujiunga na Ofisi ya Msajili wa Hazina, Bw….

Read More